mkuu unakaribia ukweli, eneo lile lilikuwa mali ya TTCL, ikaundwa kampuni inaitwa simu 2000, mkurugenzi mkuu ni bwana peter samson maro, huyu ni mtoto wa mama ana mkapa wa kwanza, yule aliyemzaa kabla hajakutana na bwana mkapa, kwa hiyo huyu bwana kajiuzia lile eneo peke yake ndo umeona anafanya vitu vyake pale(kumbuka kuwa simu2000ltd, was tasked to manage the assets of the then ttcl, UKO HAPO MKUU? HABARI NDO HIYO
mkuu unasahau kuwa serikali haina utamaduni wa kusajili ardhi yake, ardhi ina nyumba na kuna watu wanaishi, kwa zaidi ya miaka kumi,kama wapangaji halafu wamiliki, ujenzi hawna wasiwasi hata kidogo, kwa kuwa ni mali yao. all over the sudden walipouziwa wanaanza process za kumilikishwa, wanaenda manispaa kama stage ya kwanza, huko ndiko wanakutana na kijingi kuwa ardhi mnaoyoomba ina mtu naye ni huyo fisadi, wanakimbilia ujenzi, nao ujenzi wanashangaa, ujenzi mbeya wamewasiliana na katibu mkuu wao, naye anashangaa, sasa mkuu unaliona hili.
kuna habari kuwa huyo bwana zongo aliandika hiyo offer akiwa dsm, alioenda kukutana na huyu fisadi
futilieni mkuu
msajili msajili wa ardhi
kanda ya mbeya
simu 0754 277410
nziku,
...hivi uko wapi ndugu yanguuu??.......hivi Tanzania yetu waijua weye kweli?, kama alivyokudokeza Bob Mkandara.........hizo procedure unazo-ongelea......hebu fuatilia issue nyingine ya Kiwira.......sijui kuna zabuni ilitangazwa!!........kumbuka.......only in Tanzania
Naona kaka fisadi unatumia feelings badala ya facts.Kuna watu wa "dataz' watu wa "hoja" watu wa kurukia habari,washabiki na mwisho wasomaji.Jamani hebu tusiwe wavivu wa kufikiri tuliojaa wivu na watu wa kulalamika kila wakati.Hoja iko hapo.Haina uthibitisho wowote sisi tunaanza kulalamika na kulaumu watu.Kuna mtu anaweza kututhibitishia madai hayo???Mimi naziona kama chuki binafsi.
Kwa mnaojua sheria,je ni kosa au ni kifungu gani cha sheria kinamkataza mke wa rahisi kuwa mjasiriamali ama kufanya biashara???
Mama Anna Mkapa ni msomi mzuri tu aliyebobea na amekaa katika biashara siku nyingi tuu,je tendo la mmewe kuwa rais linamkataza automatically kuendelea na biashara zake???
Mwenye ushahidi aje mbele aseme labda mchakato wa kununua nyumba hizo ulighubikwa na mazingira ya rushwa.Lakini mimi hadi sasa nayyaona maneno haya kama uzushi tu wa kumsingizia na kumchafua mzee wa watu.
Hebu tuwe makini na matumizi haya ya habari
nziku,.......ukisoma vyema maelezo ya Mwikimbi......majibu ya maswali yote uliyouliza utayapata
mkuu unakaribia ukweli, eneo lile lilikuwa mali ya TTCL, ikaundwa kampuni inaitwa simu 2000, mkurugenzi mkuu ni bwana peter samson maro, huyu ni mtoto wa mama ana mkapa wa kwanza, yule aliyemzaa kabla hajakutana na bwana mkapa, kwa hiyo huyu bwana kajiuzia lile eneo peke yake ndo umeona anafanya vitu vyake pale(kumbuka kuwa simu2000ltd, was tasked to manage the assets of the then ttcl, UKO HAPO MKUU? HABARI NDO HIYO
Hivi Wakati wa Ben Ikulu yalitokea mangapi?
1. Iliungua ( wakadai pasi)
2. Fence ya ukuta(hii ilijengwa wakati wa che nkapa?)
3.
4.
3. Anna kuwa 1st lady
4.Balali kuwa Gavana
Jamani hebu tusiwe wavivu wa kufikiri tuliojaa wivu na watu wa kulalamika kila wakati.Hoja iko hapo.Haina uthibitisho wowote sisi tunaanza kulalamika na kulaumu watu.Kuna mtu anaweza kututhibitishia madai hayo???Mimi naziona kama chuki binafsi.
Kwa mnaojua sheria,je ni kosa au ni kifungu gani cha sheria kinamkataza mke wa rahisi kuwa mjasiriamali ama kufanya biashara???
Mama Anna Mkapa ni msomi mzuri tu aliyebobea na amekaa katika biashara siku nyingi tuu,je tendo la mmewe kuwa rais linamkataza automatically kuendelea na biashara zake???
Mwenye ushahidi aje mbele aseme labda mchakato wa kununua nyumba hizo ulighubikwa na mazingira ya rushwa.Lakini mimi hadi sasa nayyaona maneno haya kama uzushi tu wa kumsingizia na kumchafua mzee wa watu.
Hebu tuwe makini na matumizi haya ya habari
"Sina uwezo wa fedha ingawa najua mnasikia na kusoma mengi naishi kwa pensheni yangu kutoka serikalini kutokana na kuwa kiongozi kwa miaka 10 ambayo hata Mzee Mwinyi anaishi hivyo maana sisi sote ni wastaafu. Huo (uvumi) ni uongo uongo .uongo .uongo uongo .uongo .uongo, alisema Mkapa.
Sawa wewe umejitetea na Mkeo je?
Kabisa, yaani wanaishi kama Mzee Mwinyi.
mkuu unakaribia ukweli, eneo lile lilikuwa mali ya TTCL, ikaundwa kampuni inaitwa simu 2000, mkurugenzi mkuu ni bwana peter samson maro, huyu ni mtoto wa mama ana mkapa wa kwanza, yule aliyemzaa kabla hajakutana na bwana mkapa, kwa hiyo huyu bwana kajiuzia lile eneo peke yake ndo umeona anafanya vitu vyake pale(kumbuka kuwa simu2000ltd, was tasked to manage the assets of the then ttcl, UKO HAPO MKUU? HABARI NDO HIYO
NIPO MKUU,
Lakini kwa hali hii jamani huyu mama ni hatari kuliko tunavyofikiria. Anahitaji kuundiwa tume kumchunguza na mali zake na alizipataje. Nasikia pia magorofa ya kkoo asilimia zaidi ya 20 anayamiliki yeye. Na pesa za kuyajengea alizipata ktk ule mfuko wa EOTF ambao ulikuwa unachota pesa sehemu mbili
1) Kodi za watanzania
2) Misaada kutoka nje kwa kutumia barua zenye nembo ya ikulu. hapa nasikia alikuwa na kikosi cha vijana (masela) kama papa msofe ambao aliwatumia vilivyo ktk kufoji nyaraka mbalimbali na sahihi kwa ajili ya kujipatia fedha. Kikundi chote cha vijana hawa wanapesa ile mbaya maana gawio walipata la mama kwa kazi walizofanya.
Mimi nashauri huyu mama waandishi wetu wafanye kazi yao ya kuandika habari za uchunguzi kwa kumchunguza huyu mama. Ukweli inasikitisha mmno kuona kuna watu hawawezi hata kumudu ada za shule za watoto wao wanafanywa kuwa daraja la maendeleo ya akina maro.
Jamani hebu tusiwe wavivu wa kufikiri tuliojaa wivu na watu wa kulalamika kila wakati.Hoja iko hapo.Haina uthibitisho wowote sisi tunaanza kulalamika na kulaumu watu.Kuna mtu anaweza kututhibitishia madai hayo???Mimi naziona kama chuki binafsi.
Kwa mnaojua sheria,je ni kosa au ni kifungu gani cha sheria kinamkataza mke wa rahisi kuwa mjasiriamali ama kufanya biashara???
Mama Anna Mkapa ni msomi mzuri tu aliyebobea na amekaa katika biashara siku nyingi tuu,je tendo la mmewe kuwa rais linamkataza automatically kuendelea na biashara zake???
Mwenye ushahidi aje mbele aseme labda mchakato wa kununua nyumba hizo ulighubikwa na mazingira ya rushwa.Lakini mimi hadi sasa nayyaona maneno haya kama uzushi tu wa kumsingizia na kumchafua mzee wa watu.
Hebu tuwe makini na matumizi haya ya habari
Mama yangu................... halafu bado mume anasema yeye si tajiri, halafa JK bado anasema tumuache "mzee" apumzike, halafu JK bado anasema hata mgusa "mzee"
I think this tym inabidi kushirikiana kikamilifu na Mchungaji mtikila mahakamani
Peter Maro, to insist and further show the degree of undugunaization, ni mtoto wa Anna Mkapa na Basil Mramba. Ilivyogundulika kwamba kuna gross misconduct ilitokea under Peter Maro katika kuuza assets za TTCL, Mkapa aliunda tume kuchunguza utendaji wa Peter Maro (mmtoto wake wa kufikia) na jinsi alivyosimamia uuzaji wa mali za TTCL under simu 2000.
Guess nani alikuwa mkuu wa tume hii ya uchunguzi?
Basil Pesambili Mramba, baba kapewa tume amchunguze mwanawe.Talk of kesi ya nyani kupewa sokwe!