WAke za watu acheni kujipendekeza kwa wachungaji na manabii na mitume wana wake zao pia

WAke za watu acheni kujipendekeza kwa wachungaji na manabii na mitume wana wake zao pia

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
WATUMISHI WA MUNGU ACHENI HUU UPUMBAVU NA UKENGEUFU!🔥🔥🔥
Mitume,manabii,wachungaji hili linawahusu.Mnakosea sana kuwatumia wanawake vibaya kinyume na maandiko.

Nabii Musa pamoja na miujiza yote aliyojaaliwa,alikuwa na mtumishi mmoja tu tena kijana wakiume,yaani Joshua.Nabii Eliya naye alihudumiwa na Elisha tu na sio wanawake kibao,tena wake za watu.Yesu Kristo alihudumiwa na wanawake kwa kupewa tu sadaka na mahitaji yake.Hii tabia yenu ya kuwapangia wake za watu kuwafanyia kazi za wake zenu mmeipata kwenye Biblia gani? Majukumu ya wake zenu kwa nini yafanywe na wasichana na wanawake wa kanisani?

Hii sio sawa watumishi wa Mungu kutumikiwa na wake za watu na wasichana kwenye ofisi,wala nyumbani kwa kuwapangia zamu;na kuwadanganya eti ndio kuteka baraka za Mungu. Ni upumbavu na ukengeufu tu wewe mhubiri kufuliwa nguo zako mpaka za ndani,na kusafishiwa nyumba yako na wake za watu na wasichana wa kanisani,wakati una mke wako na watoto. Hii ndio imewafanya wanaume wengi wakatae wokovu kwani hawana imani na tabia zenu.Hivi kazi za wake zenu ni zipi hasa?! Hebu waheshimuni wake zenu na acheni kuwatumia vibaya wanawake mnao waongoza.

Kanisa sio mali yenu bali ni la Yesu Kristo,aliyeenda msalabani.Ole wenu ninyi mnao litaabisha kanisa la Yesu Kristo kwa upumbavu na ukengeufu huu na kuwakosesha wengi.Upumbavu huu umesababisha ndoa nyingi kutokuwa na amani na umewafanya watu wengine waone wokovu ni majanga.Upako wako usiwe sababu ya kuwatumia watu vibaya na kulifanya jina la Yesu Kristo litukanwe.Halafu na ninyi wanawake acheni tabia mbaya ya kujipendekeza kwa watumishi wa Mungu;kwa kuingilia majukumu ya wake zao.Hiyo siyo baraka ya Mungu.Toeni sadaka na huduma zisizo na ukakasi wala maswali yenye utata kwa kanisa na jamii.Nawaonya kwani nami ninaye Roho Mtakatifu.

Jiunge kwa mafundisho ya Neno la Mungu kila siku kwa njia ya saut
 
Yesu kristo Hana kanisa Wala msikiti hayo unayoyaita makanisa n taasisi za watu waliojianzishia Kwa malengo Yao binafsi na kuwapiga wajinga walio wengi..

Yesu kristo Kwa wanaoamini anaishi moyon kwako c pengine zaidi ya hapo...
 
Tatizo lipo kwa wake zetu kuwa kama matahira kwa hawa watu mi nilimfokeaga huyo mtumishi anamchatisha mke wangu cha kushangaza li mke langu nalo lilivyo kichaa linampa siri zote za ofisini(familia yangu) eti linahisi mimi nimeingiliwa na shetani.
Wake zetu wana akili size ya piriton ikifika kuwaface hawa viongozi wa dini.
 
Ndio kwanza nasikia leo haya maajabu
Achaneni na wake za watu nyie watumishi wa mungu.
Shauri yenu sisi tukipata connection tutatumiana tu.
 
1719135439395.jpg
 
Tatizo lipo kwa wake zetu kuwa kama matahira kwa hawa watu mi nilimfokeaga huyo mtumishi anamchatisha mke wangu cha kushangaza li mke langu nalo lilivyo kichaa linampa siri zote za ofisini eti linahisi mimi nimeingiliwa na shetani.
Wake zetu wana akili size ya piriton ikifika kuwaface hawa viongozi wa dini.
Ni baba zetu wa kiroho😅😅
 
Tatizo lipo kwa wake zetu kuwa kama matahira kwa hawa watu mi nilimfokeaga huyo mtumishi anamchatisha mke wangu cha kushangaza li mke langu nalo lilivyo kichaa linampa siri zote za ofisini eti linahisi mimi nimeingiliwa na shetani.
Wake zetu wana akili size ya piriton ikifika kuwaface hawa viongozi wa dini.
Hujamtia makonzi huyo bi shemeji?
 
Mkuu shemeji kaenda kujipendekeza kawe ninii???😂😂😂
 
Tatizo lipo kwa wake zetu kuwa kama matahira kwa hawa watu mi nilimfokeaga huyo mtumishi anamchatisha mke wangu cha kushangaza li mke langu nalo lilivyo kichaa linampa siri zote za ofisini eti linahisi mimi nimeingiliwa na shetani.
Wake zetu wana akili size ya piriton ikifika kuwaface hawa viongozi wa dini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had baas, woiiiiih
 
WATUMISHI WA MUNGU ACHENI HUU UPUMBAVU NA UKENGEUFU!🔥🔥🔥
Mitume,manabii,wachungaji hili linawahusu.Mnakosea sana kuwatumia wanawake vibaya kinyume na maandiko.

Nabii Musa pamoja na miujiza yote aliyojaaliwa,alikuwa na mtumishi mmoja tu tena kijana wakiume,yaani Joshua.Nabii Eliya naye alihudumiwa na Elisha tu na sio wanawake kibao,tena wake za watu.Yesu Kristo alihudumiwa na wanawake kwa kupewa tu sadaka na mahitaji yake.Hii tabia yenu ya kuwapangia wake za watu kuwafanyia kazi za wake zenu mmeipata kwenye Biblia gani? Majukumu ya wake zenu kwa nini yafanywe na wasichana na wanawake wa kanisani?

Hii sio sawa watumishi wa Mungu kutumikiwa na wake za watu na wasichana kwenye ofisi,wala nyumbani kwa kuwapangia zamu;na kuwadanganya eti ndio kuteka baraka za Mungu. Ni upumbavu na ukengeufu tu wewe mhubiri kufuliwa nguo zako mpaka za ndani,na kusafishiwa nyumba yako na wake za watu na wasichana wa kanisani,wakati una mke wako na watoto. Hii ndio imewafanya wanaume wengi wakatae wokovu kwani hawana imani na tabia zenu.Hivi kazi za wake zenu ni zipi hasa?! Hebu waheshimuni wake zenu na acheni kuwatumia vibaya wanawake mnao waongoza.

Kanisa sio mali yenu bali ni la Yesu Kristo,aliyeenda msalabani.Ole wenu ninyi mnao litaabisha kanisa la Yesu Kristo kwa upumbavu na ukengeufu huu na kuwakosesha wengi.Upumbavu huu umesababisha ndoa nyingi kutokuwa na amani na umewafanya watu wengine waone wokovu ni majanga.Upako wako usiwe sababu ya kuwatumia watu vibaya na kulifanya jina la Yesu Kristo litukanwe.Halafu na ninyi wanawake acheni tabia mbaya ya kujipendekeza kwa watumishi wa Mungu;kwa kuingilia majukumu ya wake zao.Hiyo siyo baraka ya Mungu.Toeni sadaka na huduma zisizo na ukakasi wala maswali yenye utata kwa kanisa na jamii.Nawaonya kwani nami ninaye Roho Mtakatifu.

Jiunge kwa mafundisho ya Neno la Mungu kila siku kwa njia ya saut
ni nani hao unawalinganisha na akina Musa na Eliya
una uhakika ni watumishi wa Mungu, au ni waganga wanaojiita watumishi wa Mungu
 
Tatizo lipo kwa wake zetu kuwa kama matahira kwa hawa watu mi nilimfokeaga huyo mtumishi anamchatisha mke wangu cha kushangaza li mke langu nalo lilivyo kichaa linampa siri zote za ofisini eti linahisi mimi nimeingiliwa na shetani.
Wake zetu wana akili size ya piriton ikifika kuwaface hawa viongozi wa dini.
MI NILIENDA KUKAA KIKAO KIMOJA NDOA BADOKIDOGO IFE ATI

KAKUTWA MWANAMKE NA PICHA YA NABII MMMOJA BUZA PPSPORT SIZE KWENYE POCHI HATAREE
ATI ANADAI YA UPAKO AKIWA ANAFANYA MAOMB AWE ANAITUMIA I ANASEMA ALIPEWA NA PAST WAKAWATUMIA MWISHO WAKAWABWAGA NAONA HATA KANSAN JAMAA ANASEMA HAENDI TENA TENA
 
WATUMISHI WA MUNGU ACHENI HUU UPUMBAVU NA UKENGEUFU!🔥🔥🔥
Mitume,manabii,wachungaji hili linawahusu.Mnakosea sana kuwatumia wanawake vibaya kinyume na maandiko.

Nabii Musa pamoja na miujiza yote aliyojaaliwa,alikuwa na mtumishi mmoja tu tena kijana wakiume,yaani Joshua.Nabii Eliya naye alihudumiwa na Elisha tu na sio wanawake kibao,tena wake za watu.Yesu Kristo alihudumiwa na wanawake kwa kupewa tu sadaka na mahitaji yake.Hii tabia yenu ya kuwapangia wake za watu kuwafanyia kazi za wake zenu mmeipata kwenye Biblia gani? Majukumu ya wake zenu kwa nini yafanywe na wasichana na wanawake wa kanisani?

Hii sio sawa watumishi wa Mungu kutumikiwa na wake za watu na wasichana kwenye ofisi,wala nyumbani kwa kuwapangia zamu;na kuwadanganya eti ndio kuteka baraka za Mungu. Ni upumbavu na ukengeufu tu wewe mhubiri kufuliwa nguo zako mpaka za ndani,na kusafishiwa nyumba yako na wake za watu na wasichana wa kanisani,wakati una mke wako na watoto. Hii ndio imewafanya wanaume wengi wakatae wokovu kwani hawana imani na tabia zenu.Hivi kazi za wake zenu ni zipi hasa?! Hebu waheshimuni wake zenu na acheni kuwatumia vibaya wanawake mnao waongoza.

Kanisa sio mali yenu bali ni la Yesu Kristo,aliyeenda msalabani.Ole wenu ninyi mnao litaabisha kanisa la Yesu Kristo kwa upumbavu na ukengeufu huu na kuwakosesha wengi.Upumbavu huu umesababisha ndoa nyingi kutokuwa na amani na umewafanya watu wengine waone wokovu ni majanga.Upako wako usiwe sababu ya kuwatumia watu vibaya na kulifanya jina la Yesu Kristo litukanwe.Halafu na ninyi wanawake acheni tabia mbaya ya kujipendekeza kwa watumishi wa Mungu;kwa kuingilia majukumu ya wake zao.Hiyo siyo baraka ya Mungu.Toeni sadaka na huduma zisizo na ukakasi wala maswali yenye utata kwa kanisa na jamii.Nawaonya kwani nami ninaye Roho Mtakatifu.

Jiunge kwa mafundisho ya Neno la Mungu kila siku kwa njia ya saut
Ndugu yangu jua tu kwamba Biblia inasema siku za mwisho watakuwepo manabii wa uongo. Hayo unayoeleza yalishatabiriwa na ni lazima yawepo na yasikuumize kichwa.
 
Ndugu yangu jua tu kwamba Biblia inasema siku za mwisho watakuwepo manabii wa uongo. Hayo unayoeleza yalishatabiriwa na ni lazima yawepo na yasikuumize kichwa.
Hatareesanamkuu....wakezawatu same kuwa virus's wa manabiiii aisè
 
Back
Top Bottom