Wake za watu mnajirahisha sana

Wake za watu mnajirahisha sana

Ukweli huwa unauma na ni watu wachache wanaokubali kusikia ukweli wao mbaya.

Nimejikuta nacheka na jinsi ID za kiume zilivyomjibu mtoa mada, yeye kaleta ukweli na wao wakampa ukweli..... hehehehee

Life is the way you take it and live.
Mi nawashtua wanaume wenzangu waliotangulia kuoa waache kuchukulia poa wake zao wanaliwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenyewe umeona umeongea vya maana!! Sasa hapo una tofauti gani na hao unaowalaumu?

Be you.
 
Kuna wimbi la wake za watu kujirahisisha kwa wanaume nashindwa kufahamu nini tatizo au ndio wanajutia ndoa wanaamua kuja kutafuta faraja nje ya ndoa au ni umalaya maana wengine wanatimiziwa kila mahitaji yao na wanahali nzuri ila ukigusa tu anakuganda mfano halisi hapa mtaani mi nimebahatika kujenga naishi kwangu ila bado sijaoa sa kifupi nimeshawapakua wake za watu wenye hali nzuri tu zaidi ya 4 na wengine wapo pending mwingine kanifuata inbox FB na kuniambia anahitaji tumeet na mme wake namuheshimu sana pia alishatembea na best angu akamtumia hadi picha ya uchi na nikaiona.. kiukweli hili inatufanya vijana tuchelewe kuoa....

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu mnaotembea na wake za watu, girlfriends za watu, watoto wa shule na mashoga uwa Napata shida sana kuelewa jinsi hamwaoni hawa single ladies wanavyosumbua watu mtaani.
 
Watu mnaotembea na wake za watu, girlfriends za watu, watoto wa shule na mashoga uwa Napata shida sana kuelewa jinsi hamwaoni hawa single ladies wanavyosumbua watu mtaani.
Tatizo unapomtaka hakwambii kama kaolewa au ana mchumba kinachowasumbua ni tamaa hamna kingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo unapomtaka hakwambii kama kaolewa au ana mchumba kinachowasumbua ni tamaa hamna kingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama alikuficha hilo ni suala lingine, nimewahi kupata mdada alikuwa na Boy friend wake nilivyogundua nilimwaacha the same day japo alikuwa mwanamke mrembo sana. Kwangu ni bora ufanye the right thing kuliko kuendekeza nyg.
 
Watu mnaotembea na wake za watu, girlfriends za watu, watoto wa shule na mashoga uwa Napata shida sana kuelewa jinsi hamwaoni hawa single ladies wanavyosumbua watu mtaani.
Inategemea na hulka ya mtu,kutembea na mke/mme wa mtu ni kutokujielewa tu
 
Kuwa wadau watakuambia"hongera kwa kujenga na kuishi kwako"
 
Back
Top Bottom