Wakenya 23 wafariki ndani ya saa 24 kwa Corona, Jumla ya waliokufa ni zaidi ya 1,200

Wakenya 23 wafariki ndani ya saa 24 kwa Corona, Jumla ya waliokufa ni zaidi ya 1,200

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Poleni sana majirani, ila hii Corona imewaonyesha uwezo wenu na udhahifu wenu kama nchi katika kukabiliana na majanga, sasa ninadhani kwa wakenya wengi wanajua kwamba kwa kipindi kirefu walikua wanadanganywa na viongozi wao kuhusu uwezo wa Kenya ukilinganisha na majirani wake.
 
Hawa ndio walikuwa wakiwaombea Watanzania mabaya, kutukejeli pamoja na kututukana matusi ya kila namna huku wakikejeli njia tulizo kuwa tunazitumia kupambana na kirusi huku wakijiona kuwa wapo sahihi?
 
Hawa ndio walikuwa wakiwaombea Watanzania mabaya, kutukejeli pamoja na kututukana matusi ya kila namna huku wakikejeli njia tulizo kuwa tunazitumia kupambana na kirusi huku wakijiona kuwa wapo sahihi?
Hao ndivyo walivyo, ila sasa hivi wengi wao wamejua ukweli kwamba nchi yao ni nchi ya hovyo sana, sio kama walivyokua wakiaminishwa na "media" pamoja na viongozi wao kwa miaka mingi, ukabila, rushwa, njaa, Alshabaab na hii Corona, imedhihirishwa wazi kwamba Kenya ni nchi dhahifu haina uwezo kabisa wa kutatua matatizo yake
 
Poleni sana majirani, ila hii Corona imewaonyesha uwezo wenu na udhahifu wenu kama nchi katika kukabiliana na majanga, sasa ninadhani kwa wakenya wengi wanajua kwamba kwa kipindi kirefu walikua wanadanganywa na viongozi wao kuhusu uwezo wa Kenya ukilinganisha na majirani wake.
Kuna uzi mmoja nili post lakini nilikula mapovu
 
Poleni sana majirani, ila hii Corona imewaonyesha uwezo wenu na udhahifu wenu kama nchi katika kukabiliana na majanga, sasa ninadhani kwa wakenya wengi wanajua kwamba kwa kipindi kirefu walikua wanadanganywa na viongozi wao kuhusu uwezo wa Kenya ukilinganisha na majirani wake.
MK254 njoo unaitwa huku ujibu!! Imekuaje taifa kubwa la Afrika Mashariki limeshindwa kupambana na kagonjwa kadogo kama Covid-19?
 
Poleni sana majirani, ila hii Corona imewaonyesha uwezo wenu na udhahifu wenu kama nchi katika kukabiliana na majanga, sasa ninadhani kwa wakenya wengi wanajua kwamba kwa kipindi kirefu walikua wanadanganywa na viongozi wao kuhusu uwezo wa Kenya ukilinganisha na majirani wake.
Wakenya tuko nateseka na corona imebamba kila kona please dua zenyu ni muhimu mazee.

Tuko na viongozi wajinga sana huku,bora yenyu Tanzania nakuja chukua citizenship mazee.
 
Wakenya tuko nateseka na corona imebamba kila kona please dua zenyu ni muhimu mazee
Tuko na viongozi wajinga sana huku,bora yenyu Tanzania nakuja chukua citizenship mazee
Hongera kwa kujua ukweli, Kenya hamhawahi kupata kiongozi mwenye akili nzuri ukiacha Kibaki, tatizo mlikua mnajazwa ujinga kwamba Kenya ni nchi bora Africa Mashariki na ninyi wenyewe mliamini.
Hii Corona, vita dhidi ya Alshabaab, Corruption, SGR, na kushindwa kukabiliana na njaa, vimeonyesha jinsi Kenya ilivyo nchi dhahifu sana katika kutatua matatizo yake ya ndani.

Karibu sana Tanzania.
 
Hao ndivyo walivyo, ila sasa hivi wengi wao wamejua ukweli kwamba nchi yao ni nchi ya hovyo sana, sio kama walivyokua wakiaminishwa na "media" pamoja na viongozi wao kwa miaka mingi, ukabila, rushwa, njaa, Alshabaab na hii Corona, imedhihirishwa wazi kwamba Kenya ni nchi dhahifu haina uwezo kabisa wa kutatua matatizo yake
Wakawa wanampigia JPM simu eti wampe ushahuri wa namna ya kupambana na kirusi [emoji23][emoji23][emoji23]

Wakaanzisha kampeni za kumkejeli na kumtukana JPM mitandaoni.
 
Wamesababisha limao zimepanda bei sana huku, wakati wao wanajifanya wanapokea wakimbizi wa kisiasa sisi tujiandae kupokea wakimbizi toka kwao wanaokimbia Corona.
 
Wakenya tuko nateseka na corona imebamba kila kona please dua zenyu ni muhimu mazee
Tuko na viongozi wajinga sana huku,bora yenyu Tanzania nakuja chukua citizenship mazee
Sasa hapo uchague moja, uende bongo kwenye mauaji ya kidhalimu au ubaki hukohuko 254 upambane na hali ya corona?
 
Corona uku nilipo ata sio issue kubwa ,na watu wala hawaizungumzii.kunya land jalibuni kutumia ubongo wenu vizuri.kuna mahala mnakwama,mambo ya kupangiwa sio mazuri.
 
ukimdhihaki yeyote aliyechagua Mungu,umechagua umeomba mabalaa.

ni heri kama huamini ukakaukanya ulimi wako usiseme chochote,kisha ukaamuru miguu yako ikuondoe eneo hilo au uiamuru akili yako kujifunza.
 
Care less about
15/11/2020

Em3uBfIW8AA22qE.jpeg

17/11/2020

EnCvGc6XMAAlie3.jpeg
 
Back
Top Bottom