Wakenya 23 wafariki ndani ya saa 24 kwa Corona, Jumla ya waliokufa ni zaidi ya 1,200

Wakenya 23 wafariki ndani ya saa 24 kwa Corona, Jumla ya waliokufa ni zaidi ya 1,200

Hao ndivyo walivyo, ila sasa hivi wengi wao wamejua ukweli kwamba nchi yao ni nchi ya hovyo sana, sio kama walivyokua wakiaminishwa na "media" pamoja na viongozi wao kwa miaka mingi, ukabila, rushwa, njaa, Alshabaab na hii Corona, imedhihirishwa wazi kwamba Kenya ni nchi dhahifu haina uwezo kabisa wa kutatua matatizo yake
Kenya ni nchi dhaifu lakini bado ina uchumi karibu mara dufu yenu? Doh! Mazingaombwe haya!
 
Wakenya tuko nateseka na corona imebamba kila kona please dua zenyu ni muhimu mazee.

Tuko na viongozi wajinga sana huku,bora yenyu Tanzania nakuja chukua citizenship mazee.
Wakenya hawaongei hivyo. Hata hujui kucopy maongezi ya Wakenya.
 
Kenya ni nchi dhaifu lakini bado ina uchumi karibu mara dufu yenu? Doh! Mazingaombwe haya!
Uchumi mara dufu wakati watu wanakufa kwa njaa, serikali imefilisika haiwezi kulipa mishahara bila mikopo. Huo uchumi lazima ni uchumi wa failed state
 
Poleni sana majirani, ila hii Corona imewaonyesha uwezo wenu na udhahifu wenu kama nchi katika kukabiliana na majanga, sasa ninadhani kwa wakenya wengi wanajua kwamba kwa kipindi kirefu walikua wanadanganywa na viongozi wao kuhusu uwezo wa Kenya ukilinganisha na majirani wake.
usanii mtupu
 
Back
Top Bottom