Wakenya 23 wafariki ndani ya saa 24 kwa Corona, Jumla ya waliokufa ni zaidi ya 1,200

Kenya ni nchi dhaifu lakini bado ina uchumi karibu mara dufu yenu? Doh! Mazingaombwe haya!
 
Wakenya tuko nateseka na corona imebamba kila kona please dua zenyu ni muhimu mazee.

Tuko na viongozi wajinga sana huku,bora yenyu Tanzania nakuja chukua citizenship mazee.
Wakenya hawaongei hivyo. Hata hujui kucopy maongezi ya Wakenya.
 
Kenya ni nchi dhaifu lakini bado ina uchumi karibu mara dufu yenu? Doh! Mazingaombwe haya!
Uchumi mara dufu wakati watu wanakufa kwa njaa, serikali imefilisika haiwezi kulipa mishahara bila mikopo. Huo uchumi lazima ni uchumi wa failed state
 
usanii mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…