Wakenya 32 waliowekwa karantini watoroka, hawajulikani wakikokwenda

Wakenya 32 waliowekwa karantini watoroka, hawajulikani wakikokwenda

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Kwa uzembe huu kweli kuna mtu unaweza kushangaa kwanini Kenya maambukizi ya Corona yapo juu sana?.

Watu 32 kutoroka toka sehemu waliyozuiliwa, ni ishara wazi kwamba Kenya hawana mikakati yoyote ya kupambana na hili tatizo zaidi ya kupima na kutangaza.

Hivi kuna mtu anayeweza kujaribu hata kukaribia pale katika Hostels za Magufuli sehemu ambayo ndio kambi ya watu waliopo karantini kwa jinsi ulinzi ulivyo mkali?.

Bado wakenya mnapaswa kujifunza toka Tanzania katika vita dhidi ya Corona, hizo namba za idadi ya wagonjwa kati ya Kenya na Tanzania, sio Bahati mbaya, ni ishara tosha ya tofauti ya bidii na uimara wa kupambana na virusi iliyopo katika ya Kenya na Tanzania.

=======

The County Government of Mandera has revealed that 32 people who travelled from Nairobi last week have managed to disappear from a quarantine facility in Elwak town under unclear circumstances.

In a letter penned by County Executive Ahmed Sheikh addressed to Mandera South Deputy County Commissioner (DCC) Abdihakim Dubat, the devolved unit appears to be laying blame on the administrator for the development.

The county has also accused the police of colluding with the passengers who were in forced quarantine after they were reported to have sneaked out of Nairobi on Wednesday last week.

“I write to register our displeasure with the manner in which 32 people out of 66 passengers disappeared from quarantine facilities under the watch of police officers,” reads the letter seen by the Nation.

He termed the move as unprocedural and risky to the public.

“It appears a few elements within the security system are yet to understand the seriousness of this campaign against coronavirus,” reads the letter.

The passengers had sneaked out of Nairobi on a Makka bus, in defiance of an order by President Uhuru Kenyatta for cessation of movement into and out of the capital.

They later arrived in Elwak town the following day and the driver was arrested, but he was not charged in court on Tuesday as was expected.

The county government wants the Mandera South DCC to take responsibility, trace the 32 escapees and further deal with negligence by security officers at Elwak town.

BLAME GAME
But Mandera County Commissioner Onesmus Kyatha has denied that DCC Dubat is culpable for disappearance of the 32.
“There is a multi-agency team dealing with coronavirus in Mandera and it is not true that DCC released people from quarantine. We have launched investigations into the matter and action will be taken against whoever will be found liable,” he said.

According to Mr Kyatha, shortage of quarantine facilities in Mandera could have helped the group disappear since officials in charge could not monitor everyone for 14 days.

The county has four confirmed cases of Covid-19.

POOR ENFORCEMENT
In a press briefing on Tuesday morning, Governor Ali Roba cited enforcement of rules as the main setback in the fight against Covid-19.

“From the look of things, it is only through extreme vigilance that we can remain proactive and contain the spread of this pandemic. Lack of capacity, preparedness and poor enforcement by our security partners will lead to extreme exposure to pandemic in the county,” he said.

He also accused security officers of releasing people from quarantine facilities in Mandera.

“We are now dealing with indiscipline cases among the public and our officers. I urge our security teams to understand that coronavirus is a life-threatening disease that can be countered effectively through disciplined collective efforts from all of us,” he said.

Source: Daily Nation

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hapo washajichanganya na raia wengine ikiwemo wengine kukimbilia kwenye counties zingine.
 
Hiyo kitu ya kutoroka inawapa shida sana wakenya yanapenda kutoroka hapo ndipo yanasambaza zaidi.
 
Endeleeni kujiliwaza na habari za Kenya na kuzidisha usanii wenu kwenye suala nyeti la maambukizi na vita dhidi ya virusi vya COVID-19. Mtaendelea kuumbuliwa tu na sifia sifia zenu zitazidi kuiletea nchi yenu na mungu mtu wenu JPM aibu kote duniani. World Bank mliosema jana kwamba wamewasifia leo wamewaumbua kweli kweli.

2368381_1586873378980.png
 
Kwa uzembe huu kweli kuna mtu unaweza kushangaa kwanini Kenya maambukizi ya Corona yapo juu sana?.

Watu 32 kutoroka toka sehemu waliyozuiliwa, ni ishara wazi kwamba Kenya hawana mikakati yoyote ya kupambana na hili tatizo zaidi ya kupima na kutangaza.

Hivi kuna mtu anayeweza kujaribu hata kukaribia pale katika Hostels za Magufuli sehemu ambayo ndio kambi ya watu waliopo karantini kwa jinsi ulinzi ulivyo mkali?.

Bado wakenya mnapaswa kujifunza toka Tanzania katika vita dhidi ya Corona, hizo namba za idadi ya wagonjwa kati ya Kenya na Tanzania, sio Bahati mbaya, ni ishara tosha ya tofauti ya bidii na uimara wa kupambana na virusi iliyopo katika ya Kenya na Tanzania.

=======

The County Government of Mandera has revealed that 32 people who travelled from Nairobi last week have managed to disappear from a quarantine facility in Elwak town under unclear circumstances.

In a letter penned by County Executive Ahmed Sheikh addressed to Mandera South Deputy County Commissioner (DCC) Abdihakim Dubat, the devolved unit appears to be laying blame on the administrator for the development.

The county has also accused the police of colluding with the passengers who were in forced quarantine after they were reported to have sneaked out of Nairobi on Wednesday last week.

“I write to register our displeasure with the manner in which 32 people out of 66 passengers disappeared from quarantine facilities under the watch of police officers,” reads the letter seen by the Nation.

He termed the move as unprocedural and risky to the public.

“It appears a few elements within the security system are yet to understand the seriousness of this campaign against coronavirus,” reads the letter.

The passengers had sneaked out of Nairobi on a Makka bus, in defiance of an order by President Uhuru Kenyatta for cessation of movement into and out of the capital.

They later arrived in Elwak town the following day and the driver was arrested, but he was not charged in court on Tuesday as was expected.

The county government wants the Mandera South DCC to take responsibility, trace the 32 escapees and further deal with negligence by security officers at Elwak town.

BLAME GAME
But Mandera County Commissioner Onesmus Kyatha has denied that DCC Dubat is culpable for disappearance of the 32.
“There is a multi-agency team dealing with coronavirus in Mandera and it is not true that DCC released people from quarantine. We have launched investigations into the matter and action will be taken against whoever will be found liable,” he said.

According to Mr Kyatha, shortage of quarantine facilities in Mandera could have helped the group disappear since officials in charge could not monitor everyone for 14 days.

The county has four confirmed cases of Covid-19.

POOR ENFORCEMENT
In a press briefing on Tuesday morning, Governor Ali Roba cited enforcement of rules as the main setback in the fight against Covid-19.

“From the look of things, it is only through extreme vigilance that we can remain proactive and contain the spread of this pandemic. Lack of capacity, preparedness and poor enforcement by our security partners will lead to extreme exposure to pandemic in the county,” he said.

He also accused security officers of releasing people from quarantine facilities in Mandera.

“We are now dealing with indiscipline cases among the public and our officers. I urge our security teams to understand that coronavirus is a life-threatening disease that can be countered effectively through disciplined collective efforts from all of us,” he said.

Source: Daily Nation

Sent using Jamii Forums mobile app
Cc: MK254 Victoire njooni mjibu uzembe huu jamani. Nyinyi mnatangaza kupima tu lakini walioko Karantini wanakimbia au ndiyo waliachwa TZ?
 
Endeleeni kujiliwaza na habari za Kenya na kuzidisha usanii wenu kwenye suala nyeti la maambukizi na vita dhidi ya virusi vya COVID-19. Mtaendelea kuumbuliwa tu na sifia sifia zenu zitazidi kuiletea nchi yenu na mungu mtu wenu JPM aibu kote duniani. World Bank mliosema jana kwamba wamewasifia leo wamewaumbua kweli kweli.
2368381_1586873378980.png
Kenya's coronavirus cases rise to 216

Ambia Uhuru aboreshe huduma Quarantine areas badala ya kulipa wasanii!

#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala kikihboy
 
Kwa uzembe huu kweli kuna mtu unaweza kushangaa kwanini Kenya maambukizi ya Corona yapo juu sana?.

Watu 32 kutoroka toka sehemu waliyozuiliwa, ni ishara wazi kwamba Kenya hawana mikakati yoyote ya kupambana na hili tatizo zaidi ya kupima na kutangaza.

Hivi kuna mtu anayeweza kujaribu hata kukaribia pale katika Hostels za Magufuli sehemu ambayo ndio kambi ya watu waliopo karantini kwa jinsi ulinzi ulivyo mkali?.

Bado wakenya mnapaswa kujifunza toka Tanzania katika vita dhidi ya Corona, hizo namba za idadi ya wagonjwa kati ya Kenya na Tanzania, sio Bahati mbaya, ni ishara tosha ya tofauti ya bidii na uimara wa kupambana na virusi iliyopo katika ya Kenya na Tanzania.

=======

The County Government of Mandera has revealed that 32 people who travelled from Nairobi last week have managed to disappear from a quarantine facility in Elwak town under unclear circumstances.

In a letter penned by County Executive Ahmed Sheikh addressed to Mandera South Deputy County Commissioner (DCC) Abdihakim Dubat, the devolved unit appears to be laying blame on the administrator for the development.

The county has also accused the police of colluding with the passengers who were in forced quarantine after they were reported to have sneaked out of Nairobi on Wednesday last week.

“I write to register our displeasure with the manner in which 32 people out of 66 passengers disappeared from quarantine facilities under the watch of police officers,” reads the letter seen by the Nation.

He termed the move as unprocedural and risky to the public.

“It appears a few elements within the security system are yet to understand the seriousness of this campaign against coronavirus,” reads the letter.

The passengers had sneaked out of Nairobi on a Makka bus, in defiance of an order by President Uhuru Kenyatta for cessation of movement into and out of the capital.

They later arrived in Elwak town the following day and the driver was arrested, but he was not charged in court on Tuesday as was expected.

The county government wants the Mandera South DCC to take responsibility, trace the 32 escapees and further deal with negligence by security officers at Elwak town.

BLAME GAME
But Mandera County Commissioner Onesmus Kyatha has denied that DCC Dubat is culpable for disappearance of the 32.
“There is a multi-agency team dealing with coronavirus in Mandera and it is not true that DCC released people from quarantine. We have launched investigations into the matter and action will be taken against whoever will be found liable,” he said.

According to Mr Kyatha, shortage of quarantine facilities in Mandera could have helped the group disappear since officials in charge could not monitor everyone for 14 days.

The county has four confirmed cases of Covid-19.

POOR ENFORCEMENT
In a press briefing on Tuesday morning, Governor Ali Roba cited enforcement of rules as the main setback in the fight against Covid-19.

“From the look of things, it is only through extreme vigilance that we can remain proactive and contain the spread of this pandemic. Lack of capacity, preparedness and poor enforcement by our security partners will lead to extreme exposure to pandemic in the county,” he said.

He also accused security officers of releasing people from quarantine facilities in Mandera.

“We are now dealing with indiscipline cases among the public and our officers. I urge our security teams to understand that coronavirus is a life-threatening disease that can be countered effectively through disciplined collective efforts from all of us,” he said.

Source: Daily Nation

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya maeneo ya quarantine yatofautishwe na JELA. Tuachane na siasa na "Uafrika" as usual kama tuna nia ya dhati ya kupambana na hili tatizo. Kitafutwe chanzo cha wao kutoroka na sio kuwakamata na kuwarudisha tatizoni, otherwise tutaendelea kuithibitishia dunia kuwa sisi ni watu wa ajabu kabisa kama propaganda za wapuuzi wachache wa Kichina zinavyodai.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cc: MK254 Victoire njooni mjibu uzembe huu jamani. Nyinyi mnatangaza kupima tu lakini walioko Karantini wanakimbia au ndiyo waliachwa TZ?

Hehehe! Hao walikimbia kisa ujinga wa serikali kuwaweka karantini eti wametokea Nairobi, unajua sasa hivi kuna zuio la kutoka au kuingia Nairobi na ukikamatwa unaadhibiwa kwa kutumbukizwa kwenye karantini, ni kama mfungie Dar, hamna kuingia au kutoka, sasa ujinga wa serikali ni pale hawakutoa tahadhari, walishtukiza, nina mshikaji wangu alikua amekwenda Narok kwa issue ya siku mbili, amekwama huko.
Hivyo hii sio karantini kama zilivyo zile za Corona, ni aina fulani ya kukomoana tu, binafsi ningekubaliana nayo kama wangetoa tahadhari ya siku kama nne, ili aliye nje aingie na aliye ndani atoke arudi mkoani kwake.
 
Hiyo kitu ya kutoroka inawapa shida sana wakenya yanapenda kutoroka hapo ndipo yanasambaza zaidi.
Walizuiliwa kwa kukimbia mji wa Nairobi na kurudi vijijini , hawa hawajadhibitika kuugua covid19.
 
Eti under unclear circumstances
Kwani nini wasiseme tu rushwa imetamalaki?
Huko Mandera nao watu wameachiwa nao wametokaje?
Acheni lockdowns inawatajirisha baadhi na kuwauwa wengine


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Mimi niliingia Kenya kutokea Tanzania mwishoni mwa mwezi wa tatu na sikukaa karantini yoyote ile...Hizo karantini utakaa tu kama huna haraka ya kupiga mishe zako
 
Back
Top Bottom