Wakenya 32 waliowekwa karantini watoroka, hawajulikani wakikokwenda

Wakenya 32 waliowekwa karantini watoroka, hawajulikani wakikokwenda

Endeleeni kujiliwaza na habari za Kenya na kuzidisha usanii wenu kwenye suala nyeti la maambukizi na vita dhidi ya virusi vya COVID-19. Mtaendelea kuumbuliwa tu na sifia sifia zenu zitazidi kuiletea nchi yenu na mungu mtu wenu JPM aibu kote duniani. World Bank mliosema jana kwamba wamewasifia leo wamewaumbua kweli kweli.

2368381_1586873378980.png
Bwahahahahahha yani imebidi hadi WB itoe taarifa kukana huu ujinga wa watanzania!!! hahahahaha, aibu gani hii
 
Mimi niliingia Kenya kutokea Tanzania mwishoni mwa mwezi wa tatu na sikukaa karantini yoyote ile...Hizo karantini utakaa tu kama huna haraka ya kupiga mishe zako
Wakati huo ilikua ni jukumu la msafiri kujifanyia "self quarantine" na kulinda binadamu wengine..... Wewe ndo mmoja wao waliosababisha Serekali kuamuru "mandatory quarantine" kwa kila alietoka nje baada ya kuona watu hawachukui hatua zozot kulinda wenzao
 
Wakati huo ilikua ni jukumu la msafiri kujifanyia "self quarantine" na kulinda binadamu wengine..... Wewe ndo mmoja wao waliosababisha Serekali kuamuru "mandatory quarantine" kwa kila alietoka nje baada ya kuona watu hawachukui hatua zozot kulinda wenzao
Mimi niliingia tarehe 31/03, niliona taarifa ilikuwa inasema mandatory quarantine inaanza tarehe 25/03, na hata mwenyeji wangu aliniambia hivyo ila alinisaidia kuizunguka tu kirahisi hiyo quarantine nilikuwa nakatiza mitaa ya Eldoret na nilicommment kwenye thread mojawapo humu tarehe 01/04.
 
Kenya's coronavirus cases rise to 216

Ambia Uhuru aboreshe huduma Quarantine areas badala ya kulipa wasanii!

#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala kikihboy
Nchi ambazo "hazina corona" kwa wingi Africa ni akina South Sudan, Burundi, Gambia, Sierra Leone , Central Africa, Eswatini....etc Yani nchi ambazo hazina uwezo wowote, Kwahivyo enda ambia Magufuli apime watu badala ya kujidanganya eti hamna mlipuko wa corona!
Corona si ugonjwa wa kujisifia sifia, Huu ugonjwa uko na real karma , hata South Korea walipigana na corona hadi wakashinda, alifu walipolegeza wakapatwa na second wave ya new outbreak!

Wewe keti hapo ukijigamba,Mwezi ujao tutakua hapa utanipigia hadithi kuliendaje
 
Mimi niliingia tarehe 31/03, niliona taarifa ilikuwa inasema mandatory quarantine inaanza tarehe 25/03, na hata mwenyeji wangu aliniambia hivyo ila alinisaidia kuizunguka tu kirahisi hiyo quarantine nilikuwa nakatiza mitaa ya Eldoret na nilicommment kwenye thread mojawapo humu tarehe 01/04.
NAkumbuka niliona comment kama hio hapa JF hata MK254 akawa anacheka hio story, Ukishavuka hapo airport bila kuekwa kwa quarantine basi hakuna namna yoyote ya kushikwa na uwekwe ndani ya quarantine labda wananchi wakuripoti kwa polisi kwamba unazunguka mtaani na umetoka 'majuu' hivi karibuni
 
Nchi ambazo "hazina corona" kwa wingi Africa ni akina South Sudan, Burundi, Gambia, Sierra Leone , Central Africa, Eswatini....etc Yani nchi ambazo hazina uwezo wowote, Kwahivyo enda ambia Magufuli apime watu badala ya kujidanganya eti hamna mlipuko wa corona!
Corona si ugonjwa wa kujisifia sifia, Huu ugonjwa uko na real karma , hata South Korea walipigana na corona hadi wakashinda, alifu walipolegeza wakapatwa na second wave ya new outbreak!

Wewe keti hapo ukijigamba,Mwezi ujao tutakua hapa utanipigia hadithi kuliendaje
Sisi sio wendawazimu kama ninyi ambao mnaacha kuchukua hatua muhimu na madhubuti za kupunguza maambukizi kama kuimarisha maeneo ya karantini badala yake mnaweka nguvu katika kupima jambo ambalo halisaidii katika kupunguza maambukizi.

Jambo moja lazima mkubali kwamba Tanzania hatukurupuki, tunajipanga na kufikiria sana kabla ya kuamua kufanya jambo lolote, imetokea hivyo katika SGR, tunajenga ya kisasa zaidi kwa bei nafuu, na sasa inatokea katika mapambano ya Corona, tunafanya vizuri na tutawashinda mwisho wa huu ugonjwa.

Tanzania itakuwa na idadi ndogo ya maambukizi na vifo vya Corona ukilinganisha na Kenya wakati ugonjwa utakapokua umetoweka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uzembe huu kweli kuna mtu unaweza kushangaa kwanini Kenya maambukizi ya Corona yapo juu sana?.

Watu 32 kutoroka toka sehemu waliyozuiliwa, ni ishara wazi kwamba Kenya hawana mikakati yoyote ya kupambana na hili tatizo zaidi ya kupima na kutangaza.

Hivi kuna mtu anayeweza kujaribu hata kukaribia pale katika Hostels za Magufuli sehemu ambayo ndio kambi ya watu waliopo karantini kwa jinsi ulinzi ulivyo mkali?.

Bado wakenya mnapaswa kujifunza toka Tanzania katika vita dhidi ya Corona, hizo namba za idadi ya wagonjwa kati ya Kenya na Tanzania, sio Bahati mbaya, ni ishara tosha ya tofauti ya bidii na uimara wa kupambana na virusi iliyopo katika ya Kenya na Tanzania.

=======

The County Government of Mandera has revealed that 32 people who travelled from Nairobi last week have managed to disappear from a quarantine facility in Elwak town under unclear circumstances.

In a letter penned by County Executive Ahmed Sheikh addressed to Mandera South Deputy County Commissioner (DCC) Abdihakim Dubat, the devolved unit appears to be laying blame on the administrator for the development.

The county has also accused the police of colluding with the passengers who were in forced quarantine after they were reported to have sneaked out of Nairobi on Wednesday last week.

“I write to register our displeasure with the manner in which 32 people out of 66 passengers disappeared from quarantine facilities under the watch of police officers,” reads the letter seen by the Nation.

He termed the move as unprocedural and risky to the public.

“It appears a few elements within the security system are yet to understand the seriousness of this campaign against coronavirus,” reads the letter.

The passengers had sneaked out of Nairobi on a Makka bus, in defiance of an order by President Uhuru Kenyatta for cessation of movement into and out of the capital.

They later arrived in Elwak town the following day and the driver was arrested, but he was not charged in court on Tuesday as was expected.

The county government wants the Mandera South DCC to take responsibility, trace the 32 escapees and further deal with negligence by security officers at Elwak town.

BLAME GAME
But Mandera County Commissioner Onesmus Kyatha has denied that DCC Dubat is culpable for disappearance of the 32.
“There is a multi-agency team dealing with coronavirus in Mandera and it is not true that DCC released people from quarantine. We have launched investigations into the matter and action will be taken against whoever will be found liable,” he said.

According to Mr Kyatha, shortage of quarantine facilities in Mandera could have helped the group disappear since officials in charge could not monitor everyone for 14 days.

The county has four confirmed cases of Covid-19.

POOR ENFORCEMENT
In a press briefing on Tuesday morning, Governor Ali Roba cited enforcement of rules as the main setback in the fight against Covid-19.

“From the look of things, it is only through extreme vigilance that we can remain proactive and contain the spread of this pandemic. Lack of capacity, preparedness and poor enforcement by our security partners will lead to extreme exposure to pandemic in the county,” he said.

He also accused security officers of releasing people from quarantine facilities in Mandera.

“We are now dealing with indiscipline cases among the public and our officers. I urge our security teams to understand that coronavirus is a life-threatening disease that can be countered effectively through disciplined collective efforts from all of us,” he said.

Source: Daily Nation

Sent using Jamii Forums mobile app

karantine bado hawakuwa wanethibitika kuwa na maambukizi, so huenda wapo salana.
 
Bwahahahahahha yani imebidi hadi WB itoe taarifa kukana huu ujinga wa watanzania!!! hahahahaha, aibu gani hii
Wanaona sifa kujiletea aibu za kujitakia. Alafu sio mara ya kwanza, kuna siku walibuni tuzo la 'ukombozi wa Afrika, ambalo eti JPM alitunukiwa kwa heshima kubwa. Eti na walikuwa wakamkabidhi tuzo hilo, wait for it..... kule South Korea. [emoji38]
 
Hapa sijakubali kidogo.
Warudi kwao kusambaza ugonjwa mahalia ambako haupo kama wamesha ambukizwa tayari, bado tu kuonesha dalili?

Tatizo lipo kwa wale labda walikuja Nirobi kufuata kitu fulani kwa siku moja au mbili halafu ghafla unaskia hamna kutoka tena, utaishi kwa ndugu na marafiki siku ngapi kabla hawajakukinai. Busara itumike, kama vipi iwekwe karantini fulani wale wanaotoka waingie humo siku 14, ikitokea wako freshi bila kirusi basi waendelee kila mtu aende kwake, aidha mikoani au Nairobi.
Karantini waliowekwa hawa ambao wametajwa humu ilikua kama kukomolewa, na pia ikumbukwe baada ya hii karantini wangetiwa lockup, hata ngelikua mimi, lazima ningetoka nduki.
 
Nchi ambazo "hazina corona" kwa wingi Africa ni akina South Sudan, Burundi, Gambia, Sierra Leone , Central Africa, Eswatini....etc Yani nchi ambazo hazina uwezo wowote, Kwahivyo enda ambia Magufuli apime watu badala ya kujidanganya eti hamna mlipuko wa corona!
Corona si ugonjwa wa kujisifia sifia, Huu ugonjwa uko na real karma , hata South Korea walipigana na corona hadi wakashinda, alifu walipolegeza wakapatwa na second wave ya new outbreak!

Wewe keti hapo ukijigamba,Mwezi ujao tutakua hapa utanipigia hadithi kuliendaje

Hata mwezi ujao watakua hivi hivi maana uwezo wa kupima watu wengi hawana. Itakua video kama ile tuliona maiti zikitolea kwenye nyumba zao.
 
Sisi sio wendawazimu kama ninyi ambao mnaacha kuchukua hatua muhimu na madhubuti za kupunguza maambukizi kama kuimarisha maeneo ya karantini badala yake mnaweka nguvu katika kupima jambo ambalo halisaidii katika kupunguza maambukizi.

Jambo moja lazima mkubali kwamba Tanzania hatukurupuki, tunajipanga na kufikiria sana kabla ya kuamua kufanya jambo lolote, imetokea hivyo katika SGR, tunajenga ya kisasa zaidi kwa bei nafuu, na sasa inatokea katika mapambano ya Corona, tunafanya vizuri na tutawashinda mwisho wa huu ugonjwa.

Tanzania itakuwa na idadi ndogo ya maambukizi na vifo vya Corona ukilinganisha na Kenya wakati ugonjwa utakapokua umetoweka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jana mliongeza kesi 35 za corona kimya kimya (Hata Kenya haijawahi kuongeza kesi nyingi kiasi hicho kwa mpigo), sasa mmeipita Uganda kwa maambukizi, Uganda ambao wamefanya tests nyingi za Corona kuwaliko, Endelea na kidomo domo tu , Corona iko na real karma! Nnchi abazo zilikua zinacheka wenzao(Akina USA na UK) mwezi uliopita sahii hizo ndo zinaangaliwa kwa makini manake hali inaanza kutisha huko.

Kwahivyo we endelea kurusha mdomo tu

1587034707310.png
 
Jana mliongeza kesi 35 za corona kimya kimya (Hata Kenya haijawahi kuongeza kesi nyingi kiasi hicho kwa mpigo), sasa mmeipita Uganda kwa maambukizi, Uganda ambao wamefanya tests nyingi za Corona kuwaliko, Endelea na kidomo domo tu , Corona iko na real karma! Nnchi abazo zilikua zinacheka wenzao(Akina USA na UK) mwezi uliopita sahii hizo ndo zinaangaliwa kwa makini manake hali inaanza kutisha huko.

Kwahivyo we endelea kurusha mdomo tu

View attachment 1420729

Lakini hapa sijui walijisahau au vipi, kwa nchi ya kijamaa yenye usiri kwa kila kitu imeshangaza kwamba wamekubali kuachia namba kama hizi kwa mpigo mmoja, hii imechanganya mpaka hawa propagandist wao wa kwenye mitandao, wapo wanatetea tu ajira lakini itakua imewatupa nje nje.
Maana ili kupata waathirika 35 kwa siku moja, ina maana wameongeza idadi ya vipimo kwa siku ambavyo walikua wanafanya chini ya kumi. Hapa sasa propagandist walikua wanasema haipaswi kuongeza idadi ya vipimo, sijui wataipiga twist gani.
 
Lakini hapa sijui walijisahau au vipi, kwa nchi ya kijamaa yenye usiri kwa kila kitu imeshangaza kwamba wamekubali kuachia namba kama hizi kwa mpigo mmoja, hii imechanganya mpaka hawa propagandist wao wa kwenye mitandao, wapo wanatetea tu ajira lakini itakua imewatupa nje nje.
Maana ili kupata waathirika 35 kwa siku moja, ina maana wameongeza idadi ya vipimo kwa siku ambavyo walikua wanafanya chini ya kumi. Hapa sasa propagandist walikua wanasema haipaswi kuongeza idadi ya vipimo, sijui wataipiga twist gani.
Inaonekana hivi ni vile vipimo walivyopelekewa last week na jack ma, so ikawa haina budi ila kuvitumia manake tayari viko ndani ya nchi na wameletewa bure
 
Inaonekana hivi ni vile vipimo walivyopelekewa last week na jack ma, so ikawa haina budi ila kuvitumia manake tayari viko ndani ya nchi na wameletewa bure

Hatari sana kwa kweli, yaani tu basi.
 
Back
Top Bottom