Tuliwaambia wakenya mnaitegemea sana Tanzania mlikua mbabisha, sasa unaona ukweli unavyojitokeza?. Hapo ni kwamba bado vyakula vinaruhusiwa kuingia Kenya toka Tanzania na Uganda, tukiamua kufunga mpaka kabisa, wakenya watakaokamatwa kujaribu kukimbilia Tanzania kwa siku, watazidi milioni moja.
Sent using
Jamii Forums mobile app