joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Watu 35 wanaodaiwa kuingia nchini kinyemela wakitokea nchini Kenya wamewekwa karantini kwa siku kumi na nne huku serikali wilayani Tarime mkoani Mara ikifunga maegesho yote ya waendesha bodaboda yaliyo kwenye mipaka ya Tanzania na Kenya kutokana na madereva hao kudaiwa kutumika kuwavusha raia wakigeni kuingia nchini.
====
Kipindi hiki ndicho kinatoa picha halisi yenye kuonyesha kati ya Tanzania na Kenya ni nani anayemtegemea na kumuhitaji mwengine.
Kule Horohoro, wakenya 24 walikamatwa na kurudishwa Kenya na pikipiki 10 za Kenya kutaifishwa, kuna wale waliotoroka baada ya Jirani kufariki kwa kuogopa Corona, Leo hili kundi la wakenya 35 limekatwa, wote hawa wanatumia njia za panya kuingia Tanzania, hii inatoa picha gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
====
Kipindi hiki ndicho kinatoa picha halisi yenye kuonyesha kati ya Tanzania na Kenya ni nani anayemtegemea na kumuhitaji mwengine.
Kule Horohoro, wakenya 24 walikamatwa na kurudishwa Kenya na pikipiki 10 za Kenya kutaifishwa, kuna wale waliotoroka baada ya Jirani kufariki kwa kuogopa Corona, Leo hili kundi la wakenya 35 limekatwa, wote hawa wanatumia njia za panya kuingia Tanzania, hii inatoa picha gani?
Sent using Jamii Forums mobile app