Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Huwa nikiwaangalia hawa wasanii wa Tanzania nachoka kabisa.Ni majinga fulani yaliyotokea familia njaanjaa wengi wao.Kwa ufupi,wanatumika kama ....(sijui niwafananishe na nini?)Sahihi mkuu, wapate na BP wafe tu, wameshakula sana nchi, ni muda sasa wa mabadiliko.
Kenya ni next level, nimeona hadi wasanii waki support Gen Z wapo nao pamoja, huku kwetu wasanii wote ni chawa, ni kusifu na kuabudu.
Wakenya hawana lolote wanacho kifanya ni MAIGIZO tu.
Ukiona mbongo anasali kwa kiingereza basi jua hana shida huyo.
Ukiona mtu anaelezea matatizo yake kwa lugha ya kigeni wakati ana option ya kuyaelezea kwa lugha yake mwenyewe basi jua hana matatizo huyo.
Muandamanaji anasema
" we are tired. This government is bad. We are hungry. We don't have food " blah blah blah.
And you are taking him seriously?
Angekuwa ana shida kweli angezitaja kwa lugha mama yake na sio lugha ya kigeni.
Upo na matatizo ya ukweli ukweli unapata wapi muda wa kufanya madoido ya kutumia lugha ya kigeni?
Saikolojia ya lugha inayo muhusu mwafrika inasema mwafrika huwaga anataja matatizo yake kwa lugha mama yake na kamwe hawezi kuyataja kwa lugha ya kigeni ambayo huwa mwafrika anaiona superior language.
Jambo zuri atalitaja kwa kiingereza ila jambo baya ndo atalitaja kwa kiswahili.
Mfano Slay queen aliyeibiwa iPhone, hata siku moja hawezi kusema " MY iPhone has been stolen"
Atasema " YESTERDAY I WENT TO BOUGHT AN IPHONE AT MLIMANI CITY, ILA NILIPOPITA MANZESE IKAIBIWA"
So acheni kuwaambia wabongo waige huo utoto wa Wakenya.
Moderator naomba msiunganishe Uzi huu na nyuzi nyingine
Huwa anaharanya na broken zake humu JF tunamchora tu.Anaandikaga kiingereza cha kimwanjokamwanjoka!🤣🤣🤣🤣🙏Nimegundua. Shida ni kuwa Hujui Kiingereza.
Yesterday i went to BOUGHT? sasa badala ya kuwachukia wanaojua. Wewe jifunze. Learn from those who can speak english dogolasi. Do not hate them. Learn from them.
Wakenya wamekufanya nini ?.... Kihoro kitakuua.Practically hakuna tofauti kati ya Wakenya na Generation Z.
Kwanza huu utoto wa kuwaita watu fulani " Generation this or generation that " ni upuuzi wa hali ya juu. It doesn't make any sense. Ila wakenya wanaona fahari kwa sababu wapo so brainwashed
Mkakati wa maandamano unapangwa na vijana wadogo kabisa kupitia mitandao.Practically hakuna tofauti kati ya Wakenya na Generation Z.
Kwanza huu utoto wa kuwaita watu fulani " Generation this or generation that " ni upuuzi wa hali ya juu. It doesn't make any sense. Ila wakenya wanaona fahari kwa sababu wapo so brainwashed
kwa sababu niliandika Uzi kuhusu Juma Njemba wa Kigoma tayari nishakuwa muha?Hao wanaotumia kiingereza ambacho unaita ni lugha ya kigeni,wana tofauti gani na wewe ambaye huwa unafanyia mazoezi JF kwa kukitumia kuandika?Acha unafiki wewe muha!Au unawaonea wivu?
Unaikataa kazi ya mikono yako iliyoanzia kichwani?kwa sababu niliandika Uzi kuhusu Juma Njemba wa Kigoma tayari nishakuwa muha?
You think like Kenyans
Hakuna upuuzi hapo. Hao vijana sio wajinga ukiona wamefika hapo ujue they hv a reason to do soUnaona upuuzi wanao fanya hawa jamaa. Halafu kuna watu wanaunga mkono .
Wewe unaelewa maana be Generation Z? Nina uhakika haujui chochote kuhusu maana ya generation zUnaelewa kwanza maana ya Gen z?
Aina yenu ya waafrika ambao kila aina ya matatizo mnasingizia wazungu, ufisadi wazungu, viongozi wenu wakiwakandamiza wazungu, viongoz wakivurunda wazungu?
Lini mtabeba ya matatizo yenu bila kutafuta excuse?
Utakuwa Gen zero ya tz wwKuchanganya na kizungu kidogo basi na wewe unajionaa😎😎😎
Sawa Gen Z uchwara😎Utakuwa Gen zero ya tz ww
Nimegundua. Shida ni kuwa Hujui Kiingereza.
Yesterday i went to BOUGHT? Kiingereza cha wapi hiki?
sasa badala ya kuwachukia wanaojua. Wewe jifunze. Learn from those who can speak english dogolasi. Do not hate them. Learn from them.
Typing error?Bought wapi na wapi kuzikaribia purchase na buy kiuandishi?🤣🤣🤣🤣Usiwe kilaza. Typing error