Wakenya acheni utoto

Wakenya acheni utoto

Sahihi mkuu, wapate na BP wafe tu, wameshakula sana nchi, ni muda sasa wa mabadiliko.

Kenya ni next level, nimeona hadi wasanii waki support Gen Z wapo nao pamoja, huku kwetu wasanii wote ni chawa, ni kusifu na kuabudu.
Huwa nikiwaangalia hawa wasanii wa Tanzania nachoka kabisa.Ni majinga fulani yaliyotokea familia njaanjaa wengi wao.Kwa ufupi,wanatumika kama ....(sijui niwafananishe na nini?)
 
Wakenya hawana lolote wanacho kifanya ni MAIGIZO tu.

Ukiona mbongo anasali kwa kiingereza basi jua hana shida huyo.

Ukiona mtu anaelezea matatizo yake kwa lugha ya kigeni wakati ana option ya kuyaelezea kwa lugha yake mwenyewe basi jua hana matatizo huyo.

Muandamanaji anasema

" we are tired. This government is bad. We are hungry. We don't have food " blah blah blah.

And you are taking him seriously?

Angekuwa ana shida kweli angezitaja kwa lugha mama yake na sio lugha ya kigeni.

Upo na matatizo ya ukweli ukweli unapata wapi muda wa kufanya madoido ya kutumia lugha ya kigeni?

Saikolojia ya lugha inayo muhusu mwafrika inasema mwafrika huwaga anataja matatizo yake kwa lugha mama yake na kamwe hawezi kuyataja kwa lugha ya kigeni ambayo huwa mwafrika anaiona superior language.

Jambo zuri atalitaja kwa kiingereza ila jambo baya ndo atalitaja kwa kiswahili.


Mfano Slay queen aliyeibiwa iPhone, hata siku moja hawezi kusema " MY iPhone has been stolen"

Atasema " YESTERDAY I WENT TO BOUGHT AN IPHONE AT MLIMANI CITY, ILA NILIPOPITA MANZESE IKAIBIWA"

So acheni kuwaambia wabongo waige huo utoto wa Wakenya.

Moderator naomba msiunganishe Uzi huu na nyuzi nyingine

Nimegundua. Shida ni kuwa Hujui Kiingereza.

Yesterday i went to BOUGHT? Kiingereza cha wapi hiki?


sasa badala ya kuwachukia wanaojua. Wewe jifunze. Learn from those who can speak english dogolasi. Do not hate them. Learn from them.
 
Nimegundua. Shida ni kuwa Hujui Kiingereza.

Yesterday i went to BOUGHT? sasa badala ya kuwachukia wanaojua. Wewe jifunze. Learn from those who can speak english dogolasi. Do not hate them. Learn from them.
Huwa anaharanya na broken zake humu JF tunamchora tu.Anaandikaga kiingereza cha kimwanjokamwanjoka!🤣🤣🤣🤣🙏
 
Practically hakuna tofauti kati ya Wakenya na Generation Z.

Kwanza huu utoto wa kuwaita watu fulani " Generation this or generation that " ni upuuzi wa hali ya juu. It doesn't make any sense. Ila wakenya wanaona fahari kwa sababu wapo so brainwashed
Wakenya wamekufanya nini ?.... Kihoro kitakuua.
 
Practically hakuna tofauti kati ya Wakenya na Generation Z.

Kwanza huu utoto wa kuwaita watu fulani " Generation this or generation that " ni upuuzi wa hali ya juu. It doesn't make any sense. Ila wakenya wanaona fahari kwa sababu wapo so brainwashed
Mkakati wa maandamano unapangwa na vijana wadogo kabisa kupitia mitandao.
Generation ya mitandaoni
Generation z
 
Hao wanaotumia kiingereza ambacho unaita ni lugha ya kigeni,wana tofauti gani na wewe ambaye huwa unafanyia mazoezi JF kwa kukitumia kuandika?Acha unafiki wewe muha!Au unawaonea wivu?
kwa sababu niliandika Uzi kuhusu Juma Njemba wa Kigoma tayari nishakuwa muha?
You think like Kenyans
 
Unaelewa kwanza maana ya Gen z?

Aina yenu ya waafrika ambao kila aina ya matatizo mnasingizia wazungu, ufisadi wazungu, viongozi wenu wakiwakandamiza wazungu, viongoz wakivurunda wazungu?

Lini mtabeba ya matatizo yenu bila kutafuta excuse?
Wewe unaelewa maana be Generation Z? Nina uhakika haujui chochote kuhusu maana ya generation z
 
Kimsingi hakuna lugha bora zaidi ya nyingine sababu sifa ya kuu ya kuitwa lugha ni kukidhi mahitaji ya watumiaji wake

Wale wazee wa linguistics wanajua hili
Kwahiyo kudhani kutumia English eti ndiyo utasikika ni ujinga

Ingawa English ni lingua franca bado waafrica wanaweza kuelewana bila English.

Ukiangalia wakorea, Chinese na wengine wa Asia hawatumii sana kingereza lakini wako mbali sana kimaendeleo.
 
Back
Top Bottom