Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Duuuh Tz pia kuna uswazi ila huku ni uswazi pro max.Nairobi yenyewe na Mombasa majority wamevundikwa kwenye huu uozo wa nguruwe
Wanaishi kwenye makopo kama industrial meat
View attachment 2015090View attachment 2015091View attachment 2015092
Mombasa ni wachache sana wanaenda ukilinganisha, kwanza wakenya wengi sana hawajafika Mombasa, ikofika December all roads lead to mashambani., Mombasa no wake wapenda starehe, watuvwengi wanaenda kukutana na jamii zao na kusherehekea sikukuu ya krismasi wakiwa makwao, kwa watu wa ukoo wao., Mitanzania huwa sana mnatamani fikra zenu zikue ukweli lakini mnapata taabu sana, no ndoto za aliniacha😂., Kenya sio size yenu, kapumzike na akina Malawi, mtaelewana.,Na kweli, kingine ni wote kila mji wa naelekea Mombasa tofauti na Tanzania kila mtu anaelekea nyumbani kwao mikoani na Tanzania usafiri wa barabara, anga, treni, maji ni wa uhakika, nchi nzima inafikika vizuri, wao lami za mikoani hakuna, mabus hakuna zaidi ya small vans ndio huita mabus huko.
Hizi nyani za kikenya ukizikuta mtandaoni utasema zinaishi marekani.Duuuh Tz pia kuna uswazi ila huku ni uswazi pro max.
Skia mwendawazimu, domestic tourism is 3times bigger than tanzaniaHuo utararibu mmeiga Tanzania na hata hivyo ni hype tu huwezi kuniambia eti hakuna tickets za usafiri wa kwenda Mombasa (ndio sehemu pekee wakenya huenda holidays) kuanzia leo mpaka December
Wenzenu huwa wanajumuika na familia zao ninyi mnajazana Mombasa kwenye maji machafu yaani hamuwezi kurudi makwenu sababu hamna pa kushukia
That was 90's era bro, kipindi wanapitia Kenya, sasa hivi hakuna safari inayochukua zaidi ya 24 hrs labda watu waamue kulala njiani.Alafu update jamaa limetokea Kigoma - 1500km away. Kufika lichukue siku mbili minimum.[emoji1787]
Utadhani ni mahali pa kudump feaces, kumbe ni binadamu wanaishi [emoji1787]Nairobi yenyewe na Mombasa majority wamevundikwa kwenye huu uozo wa nguruwe
Wanaishi kwenye makopo kama industrial meat
View attachment 2015090View attachment 2015091View attachment 2015092
Kuita hilo eneo uswazi ni kukikosea heshima kiswahili, tupaite kwa lugha yao pendwa.Duuuh Tz pia kuna uswazi ila huku ni uswazi pro max.
SGR inayotumia Kerosene ndio unajisifia?Yaani tuna desturi ya kuchapa kazi mwaka wote kisha tunajiachia msimu wa Krisimasi kwa raha zote, kula bata kwa kwenda mbele, ndio utamu wa kuwa kwenye nchi yenye uchumi bora na ya wachapa kazi.
=====================
The standard gauge railway (SGR) passenger service from Nairobi to Mombasa is fully booked ahead of Christmas in a move set to force holidaymakers to seek expensive alternatives like road and air travel.
Mombasa SGR trains fully booked over a month to Christmas
The standard gauge railway (SGR) passenger service from Nairobi to Mombasa is fully booked ahead of Christmas.www.businessdailyafrica.com
Buses heading to Western Kenya are fully booked ahead of Christmas as Nairobians prepare to travel to their rural homes to celebrate with their loved ones.
Buses now fully booked ahead of Dec festivities
Buses heading to Western Kenya are fully booked ahead of Christmas as Nairobians prepare to travel to their rural homes to celebrate with their loved ones.www.businessdailyafrica.com