Wakenya bana...tiketi za SGR zimeisha, mabasi ya mikoani yamekodiwa yote kuelekea msimu wa Krisimasi

Wakenya bana...tiketi za SGR zimeisha, mabasi ya mikoani yamekodiwa yote kuelekea msimu wa Krisimasi

Na kweli, kingine ni wote kila mji wa naelekea Mombasa tofauti na Tanzania kila mtu anaelekea nyumbani kwao mikoani na Tanzania usafiri wa barabara, anga, treni, maji ni wa uhakika, nchi nzima inafikika vizuri, wao lami za mikoani hakuna, mabus hakuna zaidi ya small vans ndio huita mabus huko.
Mombasa ni wachache sana wanaenda ukilinganisha, kwanza wakenya wengi sana hawajafika Mombasa, ikofika December all roads lead to mashambani., Mombasa no wake wapenda starehe, watuvwengi wanaenda kukutana na jamii zao na kusherehekea sikukuu ya krismasi wakiwa makwao, kwa watu wa ukoo wao., Mitanzania huwa sana mnatamani fikra zenu zikue ukweli lakini mnapata taabu sana, no ndoto za aliniacha😂., Kenya sio size yenu, kapumzike na akina Malawi, mtaelewana.,
 
Wakat mnakwenda ma kwenu mkumbuke Omnicron ipo njiani ....soon mtarejeshwa lock down tenaaa
 
sikujua kama huu uzi ni wa mashindano paka niliposoma comment
 
Huo utararibu mmeiga Tanzania na hata hivyo ni hype tu huwezi kuniambia eti hakuna tickets za usafiri wa kwenda Mombasa (ndio sehemu pekee wakenya huenda holidays) kuanzia leo mpaka December

Wenzenu huwa wanajumuika na familia zao ninyi mnajazana Mombasa kwenye maji machafu yaani hamuwezi kurudi makwenu sababu hamna pa kushukia
Skia mwendawazimu, domestic tourism is 3times bigger than tanzania
 
Alafu update jamaa limetokea Kigoma - 1500km away. Kufika lichukue siku mbili minimum.[emoji1787]
That was 90's era bro, kipindi wanapitia Kenya, sasa hivi hakuna safari inayochukua zaidi ya 24 hrs labda watu waamue kulala njiani.
So usiwe mjinga mjinga, ulizia hata
 
Yaani tuna desturi ya kuchapa kazi mwaka wote kisha tunajiachia msimu wa Krisimasi kwa raha zote, kula bata kwa kwenda mbele, ndio utamu wa kuwa kwenye nchi yenye uchumi bora na ya wachapa kazi.
=====================

The standard gauge railway (SGR) passenger service from Nairobi to Mombasa is fully booked ahead of Christmas in a move set to force holidaymakers to seek expensive alternatives like road and air travel.

Buses heading to Western Kenya are fully booked ahead of Christmas as Nairobians prepare to travel to their rural homes to celebrate with their loved ones.
SGR inayotumia Kerosene ndio unajisifia?
 
Back
Top Bottom