Wakenya chekini ubora wa reli ya Tanzania

Wakenya chekini ubora wa reli ya Tanzania

Hawawez kuangalia hao bando kenya kumudu shida sana sio kama TZ ,Wao baraka ya kushangilia thamini ya pesa yao tu ila kutumia hawawezi
Wakenya wana dhiki sana basi tu wanajititimua jf ni wakuhurumiwa kabisa
 
Mnatakiwa muangalie ili mzidi kuongeza chuki zaidi [emoji23][emoji23][emoji23].
I also wondering why we have to watch this . Kwanini mwanza mada hakuelekeza hili jambo kwa waZambia ,Wanyarwanda ama watu wa Malawi? Mbona hawakuleta haya maringo yao wakati ile treni chakavu ya uturuki ilipoanguka?
 
I also wondering why we have to watch this . Kwanini mwanza mada hakuelekeza hili jambo kwa waZambia ,Wanyarwanda ama watu wa Malawi? Mbona hawakuleta haya maringo yao wakati ile treni chakavu ya uturuki ilipoanguka?

Kuwanini Mnaogopa Kuangalia Video?
 
Back
Top Bottom