Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofauti na yenu yenye nguzo za spoku chekini uzito wa hizo nguzo za Tanzania
Am sorry I can't watch your garbage.Free WiFi imezimwa hapa Uhuru parkNimeweka hàpa hii video ikiwa na view 8300 na comment 53 YouTube nataka kuona kama wakenya wana MB za kuangalia video au wanatusumbua humu na freebasic
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawawez kuangalia hao bando kenya kumudu shida sana sio kama TZ ,Wao baraka ya kushangilia thamini ya pesa yao tu ila kutumia hawaweziPigieni magoti Uhuru awashe WiFi
Lakini TZ pesa ipo chini thaman ila ukiipata ndogo tu unatatua shida zako wala hausubirii msaada w a Serikali lakini wao mpaka bando serikali duh!! Mtihani huuPigieni magoti Uhuru awashe WiFi
Hii kitu wakenya inawaumiza sana...Tofauti na yenu yenye nguzo za spoku chekini uzito wa hizo nguzo za Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaha hebu aje mkenya m1 atuambie 1GB wanauziwa kwa sh ngapi?Wakenya wana dhiki sana basi tu wanajititimua jf ni wakuhurumiwa kabisa
Wengine humu tunatumia Wi-fi fast sana na tumenyamaza. Kisha tunaeza switch to data na kutumia 4G+.Nimeweka hàpa hii video ikiwa na view 8300 na comment 53 YouTube nataka kuona kama wakenya wana MB za kuangalia video au wanatusumbua humu na freebasic
Sent using Jamii Forums mobile app
safcom 1GB 99Hahaaha hebu aje mkenya m1 atuambie 1GB wanauziwa kwa sh ngapi?
Nikweli tena wakiona maijinia wa tz wakijenga roho inauma baraa
I'm also wondering why we have to watch this . Kwanini mleta mada hakuelekeza hili jambo kwa waZambia ,Wanyarwanda ama watu wa Malawi? Mbona hawakuleta hii maringo yao wakati ile treni chakavu ya uturuki ilipoanguka?Am sorry I can't watch your garbage.Free WiFi imezimwa hapa Uhuru park
I also wondering why we have to watch this . Kwanini mwanza mada hakuelekeza hili jambo kwa waZambia ,Wanyarwanda ama watu wa Malawi? Mbona hawakuleta haya maringo yao wakati ile treni chakavu ya uturuki ilipoanguka?
I also wondering why we have to watch this . Kwanini mwanza mada hakuelekeza hili jambo kwa waZambia ,Wanyarwanda ama watu wa Malawi? Mbona hawakuleta haya maringo yao wakati ile treni chakavu ya uturuki ilipoanguka?