Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 7,729
- 3,569
check hapa kidogo ufurahishe moyo wako. tizama "PenetrationHapo umemaliza kabisa
(% Population)"
www.internetworldstats.com/stats1.htm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
check hapa kidogo ufurahishe moyo wako. tizama "PenetrationHapo umemaliza kabisa
Hahaha kwani video imegoma?itakua.. itakua.. itakua.
come up with s/thing new already. tumechoka na 'itakua.. itakua.. itakua' b.s
Huu mjadala tulishaufunga sababu imeonesha hizo statistics ni fake, hamuwezi kuwa na 50 million Internet users wakati ninyi idadi yenu ni 47 plus 9 days old infantscheck hapa kidogo ufurahishe moyo wako. tizama "Penetration
(% Population)"
www.internetworldstats.com/stats1.htm
Terminal ya Dodoma nasikia ndio balaa 🔥🔥🔥Hapo umemaliza kabisa
Huo ni ukweli ulio waz kabbisa.Kwaiyo waturuki wanawapa na teknolojia wabongo au
asante kwa kunifahamisha kua hujui ku-interpret data.Huu mjadala tulishaufunga sababu imeonesha hizo statistics ni fake, hamuwezi kuwa na 50 million Internet users wakati ninyi idadi yenu ni 47 plus 9 days old infants
Kwa ujinga huwa umeshikilia nafasi ya kwanza. Mwambie FaizaFoxy akurudishe shuleniHuu mjadala tulishaufunga sababu imeonesha hizo statistics ni fake, hamuwezi kuwa na 50 million Internet users wakati ninyi idadi yenu ni 47 plus 9 days old infants
Aisee msalimie sana. Mola awajaalie muishi maisha marefu duniani 😊☺💕💉💉💉💉💉 Utapona tu
FaizaFoxy nipo nae hapa kipembeni hana neno 😎
Tunakula maisha, wewe zamu yako bado
It's,tuta,tuki wimbo unaendelea,ccm aibu tupu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Terminal ya Dodoma nasikia ndio balaa [emoji91][emoji91][emoji91]
Kwa bahati mbaya tukisema twatekeleza.It's,tuta,tuki wimbo unaendelea,ccm aibu tupu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Juu ni upuuzi tu!! Mbona asiweke picha kama Sisi?hatuna mda kuangalia video zile zile za mataluma tangu mwanzo
Angalia idadi ya views kwenye youtube, tz videos.Nyie mwanunua bundle ya kuchat JF ila sio kuwatch video
😂😂Sio mabando yamekata, ni police patrol huwa inapita pale uhuru Park mida ya usiku kuondoka wakora wasikabe watu, na hapo ndipo hawa wote hujikusanya sababu ya free WiFi, sasa wanaelekea Kibera na Korogocho mazizini huko kulala.Wakenya wenzako washa kuwa off line mabando yamekata umebaki wewe cheki wa tz usiku kucha tupo on line
Watafiti wanasema bangi za kuvutia chooni zinatia wazimu ndiyo maana nchi nyingi sasa wanaruhusu ziwe zinavutwa wazi kama sigara.💉💉💉💉💉 Utapona tu
FaizaFoxy nipo nae hapa kipembeni hana neno 😎
Tunakula maisha, wewe zamu yako bado