Wakenya chekini ubora wa reli ya Tanzania

Wakenya chekini ubora wa reli ya Tanzania

itakua.. itakua.. itakua.
come up with s/thing new already. tumechoka na 'itakua.. itakua.. itakua' b.s
Hahaha kwani video imegoma?
Hiyo ilikua explanation kwa ninyi walalahoi msiomudu kucheki video ya 2 minutes
 
Kwaiyo waturuki wanawapa na teknolojia wabongo au
Huo ni ukweli ulio waz kabbisa.
Hata utengenezaji wa sgr mkurugenzi wa TRC alishaongea na Yepi merkezi watuambukize utengenezaji.
Ndio maana ktk utengenezaji pandee zote mtz lazima awepo kuchota technology sio km wakenya wanaitwa kwenye kupasua kokoto ila sehem nyeti za ujenzi wanawaacha wachina.
 
It's,tuta,tuki wimbo unaendelea,ccm aibu tupu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa bahati mbaya tukisema twatekeleza.
Hakuna tulichosema then hatujatekeleza.
Kaa ukisubiri yatokee maana ht ya Sgr mlisema hatutajenga ht cm moja.
Ilhali phase 1 ipo 70% phase 2 iko 16%.
Kaeni mngojee yakifanyika.
 
Wakenya wenzako washa kuwa off line mabando yamekata umebaki wewe cheki wa tz usiku kucha tupo on line
It's,tuta,tuki wimbo unaendelea,ccm aibu tupu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakenya wenzako washa kuwa off line mabando yamekata umebaki wewe cheki wa tz usiku kucha tupo on line
😂😂Sio mabando yamekata, ni police patrol huwa inapita pale uhuru Park mida ya usiku kuondoka wakora wasikabe watu, na hapo ndipo hawa wote hujikusanya sababu ya free WiFi, sasa wanaelekea Kibera na Korogocho mazizini huko kulala.
 
Back
Top Bottom