π π Na bahati mbaya yote haya umenifundisha wewe laaziz sababu ya huba! Me skua hiv atiiiiiWatafiti wanasema bangi za kuvutia chooni zinatia wazimu ndiyo maana nchi nyingi sasa wanaruhusu ziwe zinavutwa wazi kama sigara.
Duh! That's kshs.114.Safcom is cheaper.Sisi vodacom 2500 1GB hii hadi tunalia after sometime we will protest for sure πππ
Haha.... redeemer huba hubaaaaaa.....Watafiti wanasema bangi za kuvutia chooni zinatia wazimu ndiyo maana nchi nyingi sasa wanaruhusu ziwe zinavutwa wazi kama sigara.
Wacha upumbavu wewe. Mlishindwa ku-design na Kupangilia Tandale and Manzese pawe mahali pa binadamu kuishi sasa ndio design ya terminals ndio mtaweza?Design ya terminals inaonesha sababu ya indoor boarding halafu ni on the 2nd floor basi kutakua na aina tatu za ku access the boarding lounge, 1 kwa kutumia traditional stairs, 2 electric stairway (escalators) na 3 elevator
Hii ni unique Africa bila kusahau hii main terminal itakua some kind of a business hub
Sisi vodacom 2500 1GB hii hadi tunalia after sometime we will protest for sure [emoji23][emoji23][emoji23]
Punguza wivu au unataka kufananisha na kiberaWacha upumbavu wewe. Mlishindwa ku-design na Kupangilia Tandale and Manzese pawe mahali pa binadamu kuishi sasa ndio design ya terminals ndio mtaweza?
Hata ile design ya bunge la Tanzania kule Dodoma ni copy + paste mlijaribu kuiba design ya Bunge la Marekani .That thingy in Dodoma looks ugly.
Kibera na Bangladesh slums unazizungumziaje broWacha upumbavu wewe. Mlishindwa ku-design na Kupangilia Tandale and Manzese pawe mahali pa binadamu kuishi sasa ndio design ya terminals ndio mtaweza?
Hata ile design ya bunge la Tanzania kule Dodoma ni copy + paste mlijaribu kuiba design ya Bunge la Marekani .That thingy in Dodoma looks ugly.
Tukitaka kuangalia tunaenda kwa video za Madaraka Express ,China bullet trains ama Japanese Shinkansen .Kuwanini Mnaogopa Kuangalia Video?
Hizo nitazungumzia "in past tense " hivi karibuni sababu highrise upgraded apartments na mabarabara za Langata -Kibera - Ngong Rd link na Dongo Kundu are doing a serious depletion of those slums.Kibera na Bangladesh slums unazizungumziaje bro
Hawana the best internet as voda budaKuna TTCL, AIRTEL, Halotel au umelazimishwa kutumia huo mtandao [emoji23][emoji23][emoji23]
Hawana the best internet as voda buda
Hakuna aliyenidanganya buda ndio ukweli wala usibishe, leo hii nenda kokote hata madongo kuinuka huko bado utapata 3G ya Voda ila Tigo, Halotel sahau Airtel ndio kabisaa sio rafiki.Nani kakudanganya.
Hakuna aliyenidanganya buda ndio ukweli wala usibishe, leo hii nenda kokote hata madongo kuinuka huko bado utapata 3G ya Voda ila Tigo, Halotel sahau Airtel ndio kabisaa sio rafiki.
.
Halotel 3G yao maeneo ya vijijini inapatikana kwenye highways tu ulipopita mkongo wa taifa kuna kijiji kimoja kiko manyara wilaya ya Haidom mtandao unaoshika vizuri ni Airtel cha ajabu nilivyowasha data napata 3G ya Vodacom
Sasa boss TTCL 4G yake au 3G inapatikana baadhi ya makao makuu ya mikoa na wilaya chache sana utailinganishaje na Voda ambayo inashika hadi vijijini?Natumia Halotel, Tigo, Ttcl na Airtel na huwa hainisumbui hata kidogo, nashusha vitu na kustream bila usumbufu wowote.
Ttcl inapiga kazi vizuri now hadi nje ya miji inafanya roaming kutoka Tigo,Sasa boss TTCL 4G yake au 3G inapatikana baadhi ya makao makuu ya mikoa na wilaya chache sana utailinganishaje na Voda ambayo inashika hadi vijijini?
.
Halotel ni kama nilivyosema internet yake ni mijini na vijijini ni kulikopita mkongo wa taifa wa mawasiliano tu! Hakuna kwingine utapata 3G ya halotel, kwanza sio rafiki huku niliko muda huu ni kijijini sana naona vibanda vya M-pesa tu.
.
Nipo pori la akiba linalotenganisha Singida na Dodoma kuna wenzangu wanatumia Tigo hawana internet wanapata (E) kabisa Airtel iko vizuri natumia hata mimi inaruhusu kupiga simu bila shida ila internet ni (e)
.
Sasa mimi niko humu JF natamba kama niko Dodoma mjini vile [emoji23][emoji23] line ya TTCL walitulazimisha kusajili nikaona ni upuuzi sijatumia hadi leo natamba tu na Voda japo ni 3G hakuna 4G huku porini sasa kwanini nisiseme wao ni bora?
Aaah kaka hujaitumia TTCL aisee.Hawana the best internet as voda buda
Ndivyo mwasemaga.Hizo nitazungumzia "in past tense " hivi karibuni sababu highrise upgraded apartments na mabarabara za Langata -Kibera - Ngong Rd link na Dongo Kundu are doing a serious depletion of those slums.
TTCL ndio baba lao, ila Nimecheka kwamba halotel hupatikana kwenye highway sababu cables zake zimepita huko π π π (hili sijawahi kuliwaza kama linawezekana) ina maana umeme uliofika Zanzibar kutoka bara kupitia baharini nao unapotea sana huko baharini. ππTtcl inapiga kazi vizuri now hadi nje ya miji inafanya roaming kutoka Tigo,
Airtel pia wana 4G nzur tu now,
Ingekua hii mitandao haipigi kazi ningeacha kuzitumia.
TTCL ndio baba lao, ila Nimecheka kwamba halotel hupatikana kwenye highway sababu cables zake zimepita huko [emoji28][emoji28][emoji28] (hili sijawahi kuliwaza kama linawezekana) ina maana umeme uliofika Zanzibar kutoka bara kupitia baharini nao unapotea sana huko baharini. [emoji57][emoji17]