Wakenya, hata kama mmekwama kiuchumi, mnunulieni Rais wenu ndege mpya!

Wakenya, hata kama mmekwama kiuchumi, mnunulieni Rais wenu ndege mpya!

wakenya kubalini hiyo ndege ni ya zamani hata kama ni airflightworth it is not presidentialworth
 
Sidhani kwani ingekuwa hivyo hata maelezo unayotoa yangekuwa reflected na utaalam wako.
Wewe ni layman ndiyo maana unazungumzia rangi kuchakaa na moshi. Maoni yangu ni vyema ungefanya utafiti kwanza halafu ukaelimisha jamii. Kwa taarifa yako Airforce1 ya US yenye tail number 27000 ambayo hutumiwa na rais wa marekani ilistaafishwa 2009 baada ya kutumika na marais kadhaa kwa miaka 30.
 
Sidhani kwani ingekuwa hivyo hata maelezo unayotoa yangekuwa reflected na utaalam wako.
Wewe ni layman ndiyo maana unazungumzia rangi kuchakaa na moshi. Maoni yangu ni vyema ungefanya utafiti kwanza halafu ukaelimisha jamii. Kwa taarifa yako Airforce1 ya US yenye tail number 27000 ambayo hutumiwa na rais wa marekani ilistaafishwa 2009 baada ya kutumika na marais kadhaa kwa miaka 30.
If I ever see Pres Uhuru on that plane again, its either he dont fear for his life or Kenyans don't care for his life...
 
Mnunulie wewe uliyeumizwa na hiyo ndege, unataka kujifanya una uelewa na mambo ya Raisi wa kenya kuliko wakenya wenyewe
 
Tekaneni tu..nynyi msibadilike..halafu hku mkisema watu wanajiteka
Ni jirani zetu na ndugu zetu... Lazima tuwasaidie kwa ushauri... Akifa Kenyatta wakaanza kupigania madaraka wakimbizi wao watakuwa mzigo kwetu... So lazima tufanye risk mitigation...
 
Kwa sasa Rais wa Kenya huenda ndiye akawa kiongozi wa pekee barani Afrika ambaye anatumia ndege ya zamani na chakavu kuliko nchi zote.
Haiingii akilini kuona kuwa hata nchi ndogo ya Rwanda ina ndege nzuri ya Rais kuliko nchi ya Kenya ambayo inajinasibu kuwa na uchumi mkubwa kuliko nchi zote za Afrika Mashariki.
Hiyo ndege ya Rais wenu ni ndege iliyotengenezwa kwenye miaka ya tisini na najua ilileta mgogoro kwenye kuinunua. Lakini kwa kujali uhai na usalama wa kiongozi wenu, kama majirani naombeni mumnunulie Rais wenu ndege mpya.
Kama hamna uwezo wa kununua ndege kubwa kama hiyo, basi nunueni ndege ndogo ya Learjet 75 ambayo ni superior kiasi cha kufaa kumbeba Rais wenu.
Hilo dege lenu ni la kizamani sana hata tu kwa muonekano linawatia aibu na kuonesha jinsi gani mko so broke...

Chonde chonde, fanyeni mpango wa kununua ndege mpya ya Rais kabla hamjamuua na hilo dude zee kiongozi wenu!



Bombardier Learjet 75 - N342SP

View attachment 1154163


Dege lenyewe kwanza halijulikani kama ni la rangi nyeupe, ya njano au maziwa kutokana na lilivyochakaa...

View attachment 1154165







Hizo ndege umeweka hapo ni za mapasta na mabishop.
Hakuna nchi inayojiheshimu inaweza nunua hizo kama ndege ya rais.
 
Back
Top Bottom