Ummayed
JF-Expert Member
- May 21, 2019
- 6,155
- 2,580
DuuuuhAt the age of 30 nilikuwa namiliki magari sita!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuuuuhAt the age of 30 nilikuwa namiliki magari sita!
And age 40 you still don't have a plane to give to Uhuru?At the age of 30 nilikuwa namiliki magari sita!
Mwenye anaongea hata hana baisikeli ya Mbao.Duuh.Midanganyika hao
Sidhani kwani ingekuwa hivyo hata maelezo unayotoa yangekuwa reflected na utaalam wako.NDIYO!!!
Tihihihi...Hata usiniulize kakaAha haaa 😀😀
Awe na baiskeli ya mbao, kwani yeye ni comrade kipepe?
If I ever see Pres Uhuru on that plane again, its either he dont fear for his life or Kenyans don't care for his life...Sidhani kwani ingekuwa hivyo hata maelezo unayotoa yangekuwa reflected na utaalam wako.
Wewe ni layman ndiyo maana unazungumzia rangi kuchakaa na moshi. Maoni yangu ni vyema ungefanya utafiti kwanza halafu ukaelimisha jamii. Kwa taarifa yako Airforce1 ya US yenye tail number 27000 ambayo hutumiwa na rais wa marekani ilistaafishwa 2009 baada ya kutumika na marais kadhaa kwa miaka 30.
Alisema anamiliki gari yenye cc 650(suzuki carry)Mwenye anaongea hata hana baisikeli ya Mbao.Duuh.Midanganyika hao
😀 Be happy bro inaongeza umri wa kuishi vyemaUnatia kichefuchefu!!!!!!!
Ours is not of 2004. Mind you, we have a newest 'presidential jet'... When the president don't use it, we lease it to Air Tanzania...
View attachment 1154535
Ni jirani zetu na ndugu zetu... Lazima tuwasaidie kwa ushauri... Akifa Kenyatta wakaanza kupigania madaraka wakimbizi wao watakuwa mzigo kwetu... So lazima tufanye risk mitigation...
Ours is not of 2004. Mind you, we have a newest 'presidential jet'... When the president don't use it, we lease it to Air Tanzania...
View attachment 1154535
At the age of 30 nilikuwa namiliki magari sita!
Kwa sasa Rais wa Kenya huenda ndiye akawa kiongozi wa pekee barani Afrika ambaye anatumia ndege ya zamani na chakavu kuliko nchi zote.
Haiingii akilini kuona kuwa hata nchi ndogo ya Rwanda ina ndege nzuri ya Rais kuliko nchi ya Kenya ambayo inajinasibu kuwa na uchumi mkubwa kuliko nchi zote za Afrika Mashariki.
Hiyo ndege ya Rais wenu ni ndege iliyotengenezwa kwenye miaka ya tisini na najua ilileta mgogoro kwenye kuinunua. Lakini kwa kujali uhai na usalama wa kiongozi wenu, kama majirani naombeni mumnunulie Rais wenu ndege mpya.
Kama hamna uwezo wa kununua ndege kubwa kama hiyo, basi nunueni ndege ndogo ya Learjet 75 ambayo ni superior kiasi cha kufaa kumbeba Rais wenu.
Hilo dege lenu ni la kizamani sana hata tu kwa muonekano linawatia aibu na kuonesha jinsi gani mko so broke...
Chonde chonde, fanyeni mpango wa kununua ndege mpya ya Rais kabla hamjamuua na hilo dude zee kiongozi wenu!
Bombardier Learjet 75 - N342SP
View attachment 1154163
Dege lenyewe kwanza halijulikani kama ni la rangi nyeupe, ya njano au maziwa kutokana na lilivyochakaa...
View attachment 1154165
Ni ndege chakavu mnoo! Haina tena sifa za kubeba Rais wa nchi!
umesahau uhuru ni kutoka middle economy country,anasubirije misaada!!!And age 40 you still don't have a plane to give to Uhuru?
Andika kwa kiswahili pengine utaeleweka vizuri zaidiIf I ever see Pres Uhuru on that plane again, its either he dont fear for his life or Kenyans don't care for his life...