Wakenya, hata kama mmekwama kiuchumi, mnunulieni Rais wenu ndege mpya!

Wakenya, hata kama mmekwama kiuchumi, mnunulieni Rais wenu ndege mpya!

Kwa sasa Rais wa Kenya huenda ndiye akawa kiongozi wa pekee barani Afrika ambaye anatumia ndege ya zamani na chakavu kuliko nchi zote.
Haiingii akilini kuona kuwa hata nchi ndogo ya Rwanda ina ndege nzuri ya Rais kuliko nchi ya Kenya ambayo inajinasibu kuwa na uchumi mkubwa kuliko nchi zote za Afrika Mashariki.
Hiyo ndege ya Rais wenu ni ndege iliyotengenezwa kwenye miaka ya tisini na najua ilileta mgogoro kwenye kuinunua. Lakini kwa kujali uhai na usalama wa kiongozi wenu, kama majirani naombeni mumnunulie Rais wenu ndege mpya.
Kama hamna uwezo wa kununua ndege kubwa kama hiyo, basi nunueni ndege ndogo ya Learjet 75 ambayo ni superior kiasi cha kufaa kumbeba Rais wenu.
Hilo dege lenu ni la kizamani sana hata tu kwa muonekano linawatia aibu na kuonesha jinsi gani mko so broke...

Chonde chonde, fanyeni mpango wa kununua ndege mpya ya Rais kabla hamjamuua na hilo dude zee kiongozi wenu!



Bombardier Learjet 75 - N342SP

View attachment 1154163


Dege lenyewe kwanza halijulikani kama ni la rangi nyeupe, ya njano au maziwa kutokana na lilivyochakaa...

View attachment 1154165






Ours is not of 2004. Mind you, we have a newest 'presidential jet'... When the president don't use it, we lease it to Air Tanzania...

View attachment 1154535

Yani ulileta mada kumbe akilini ulikua unaringa eti kwasababu Rais wenu ako na ndege nzuri, Kumbe uatuonyesha kwamba hamna hata ndege ya Rais!!!!!

Hio ndege ulio ionyesha si "presidential jet" ni ndege ya ATCL, yani Air Tanzania, Magufuli ndo hana hata presidential jet inabidi akodishe ndege ya Air Tanzania pamoja na air hostess wa kampuni!!!!!!


Hata Museveni hua anakodisha ndege za KQ na kutumia kwa Ziara rasmi kama "presidential jet"

Kwa mfano hapa Alipokuja ziara rasmi huko Tanzania, alikodisha ndege nzima ya KQ

C5fr6wLWYAArZFx.jpg

C5fr8vvWcAISk9T.jpg







Pia hapa akizuru Ethiopia
M73.jpg
 
Unabisha nn wewee.??
Unafikiri huyo km ww mla githeri?!?
Mbona huku me nina partners tena kusema life is not fair nina mshikaji wangu alifeli o,level sisi tukaingia chuo yeye kaenda Oman kufanya kaz.
After 4 years ana nyumba na gari za fortuner,Range na BMW x3 bro nambie huyo jamaa na ndugu yangu hapo nan wa kumshangaa.
Bora huyo mikopo chefu at the age of 30.
Huyu mwarabu alofeli shule 24 years old km.mm.
Aaaaweeeee!!!sai basi si una private jet mkuu
 
Endeleeni kubishania ndege ambazo hata mnziona angani tu.
 
Nikuulize..unafikiria mtu akipata utajiri at the age of 30...40 yrs atakuwaje...

Mtu km hyo ovias mapato yake ni ya hali ya juu..kw mfano mtu km mark zuckerberg..at the age of 30 keshatusua tayari...unatarajia yule jamaa akifika 40 anakuwaje
Unabisha nn wewee.??
Unafikiri huyo km ww mla githeri?!?
Mbona huku me nina partners tena kusema life is not fair nina mshikaji wangu alifeli o,level sisi tukaingia chuo yeye kaenda Oman kufanya kaz.
After 4 years ana nyumba na gari za fortuner,Range na BMW x3 bro nambie huyo jamaa na ndugu yangu hapo nan wa kumshangaa.
Bora huyo mikopo chefu at the age of 30.
Huyu mwarabu alofeli shule 24 years old km.mm.
 
Nikuulize..unafikiria mtu akipata utajiri at the age of 30...40 yrs atakuwaje...

Mtu km hyo ovias mapato yake ni ya hali ya juu..kw mfano mtu km mark zuckerberg..at the age of 30 keshatusua tayari...unatarajia yule jamaa akifika 40 anakuwaje
Asa mkuu kuna matajiri wenye umaarufu na utajiri.
Na kuna matajiri walio na utajiri ila hawana umaarufu.
Hao watu waogope.
Ndio mm nakwambia.
Yani wanafanya biashara ila sio za kuwaweka wawe maarufu.
Then gusa utajiri wao uone.
Mfano huyu rafiki yangu nilomaliza nae school anafanya kaz ya petroleum huko Oman.
Na hela anapokea kwa Dinar na ashafikisha karibia $ 2 millions kwa madai yake sitaki kuongea sana.Mpe six years akitimiza 30 years atakuaje.
Si kisa mtu maarufu ukadhan tajir kumzid asiye maarufu laa.
Wengine ni km paper money when their value increases they just keep silent.
 
Back
Top Bottom