Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,795
- Thread starter
-
- #41
Wenye akili wameshaelewa... Sio lazima muelewe wote. That's why Universities was kept for the fewest of the general population...Andika kwa kiswahili pengine utaeleweka vizuri zaidi
NDIYO MAANA TUNACHEKWA SANA NA WENZETU.Wenye akili wameshaelewa... Sio lazima muelewe wote. That's why Universities was kept for the fewest of the general population...
Kwa sasa Rais wa Kenya huenda ndiye akawa kiongozi wa pekee barani Afrika ambaye anatumia ndege ya zamani na chakavu kuliko nchi zote.
Haiingii akilini kuona kuwa hata nchi ndogo ya Rwanda ina ndege nzuri ya Rais kuliko nchi ya Kenya ambayo inajinasibu kuwa na uchumi mkubwa kuliko nchi zote za Afrika Mashariki.
Hiyo ndege ya Rais wenu ni ndege iliyotengenezwa kwenye miaka ya tisini na najua ilileta mgogoro kwenye kuinunua. Lakini kwa kujali uhai na usalama wa kiongozi wenu, kama majirani naombeni mumnunulie Rais wenu ndege mpya.
Kama hamna uwezo wa kununua ndege kubwa kama hiyo, basi nunueni ndege ndogo ya Learjet 75 ambayo ni superior kiasi cha kufaa kumbeba Rais wenu.
Hilo dege lenu ni la kizamani sana hata tu kwa muonekano linawatia aibu na kuonesha jinsi gani mko so broke...
Chonde chonde, fanyeni mpango wa kununua ndege mpya ya Rais kabla hamjamuua na hilo dude zee kiongozi wenu!
Bombardier Learjet 75 - N342SP
View attachment 1154163
Dege lenyewe kwanza halijulikani kama ni la rangi nyeupe, ya njano au maziwa kutokana na lilivyochakaa...
View attachment 1154165
Ours is not of 2004. Mind you, we have a newest 'presidential jet'... When the president don't use it, we lease it to Air Tanzania...
View attachment 1154535
Aaaaweeeee!!!sai basi si una private jet mkuu
Unabisha nn wewee.??
Unafikiri huyo km ww mla githeri?!?
Mbona huku me nina partners tena kusema life is not fair nina mshikaji wangu alifeli o,level sisi tukaingia chuo yeye kaenda Oman kufanya kaz.
After 4 years ana nyumba na gari za fortuner,Range na BMW x3 bro nambie huyo jamaa na ndugu yangu hapo nan wa kumshangaa.
Bora huyo mikopo chefu at the age of 30.
Huyu mwarabu alofeli shule 24 years old km.mm.
Asa mkuu kuna matajiri wenye umaarufu na utajiri.Nikuulize..unafikiria mtu akipata utajiri at the age of 30...40 yrs atakuwaje...
Mtu km hyo ovias mapato yake ni ya hali ya juu..kw mfano mtu km mark zuckerberg..at the age of 30 keshatusua tayari...unatarajia yule jamaa akifika 40 anakuwaje