Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili yako ndogo.......jirani yako akifiwa huwezi pitisha gari kwenda kaziniInatuhusu nn?
Ulitakiwa kwenda shule kwanza kuondoa ujinga ulionao kabla ya kuja jf na coment za aibu.Kusaka tonge ndio tatizo la wapinzani wa Africa hawana lolote
Sasa hayo maneno gani tena. Saa hizi wanauana kupitia mgomo wa madaktari na manesi wote nchi nzima kwa wiki 3 sasa. Si watamalizana sasa kama na hayo maandamano ya Wajaluo yakianza?acha wauane
Vyama vingi ni unyonyaji tu.. Hapa Afrika.. Sasa kwanini wasifuate Taratibu.. Hapa ndio maana nimekubali kauli ya JPM waliotaka mambo ya Katiba.. Anajua ni kupotezeana mda tuHao ndiyo Upinzani, walikuwa wanalilia Katiba mpya na kudanganya watu kwamba ndiyo muarobaini wa matatizo ya Wakenya, sasa wameipata hiyo Katiba mpya na kwa kuwa tu imeshindwa kuwaingiza madarakani sasa hawataki kuitii, najiuliza swali hivi kulikuwa na haja gani kutumia muda na mabilioni ya fedha kuandika Katiba ambayo hamtaki kuitii?
Una jua sisi VIUMBE VYEUSI huwa tuna matatzo sana maana kamwe HATUWEZI RIDHIKA KWA KILE TUNACHOKIITAJI PALE TUNAPOKIPATA.....haya yanayotokea NCHINI KENYA ni mfano tosha kabsa ya HATA SISI HUKU siku tukipata hitaji la kuwa na TUME HURU ya UCHAGUZI still bado kutatokea WAPUUZI kusema TUME HII YA UCHAGUZI SI HURU...KAMA INAVYOTOKEA SASA NCHINI KENYA......watanzania WENZANGU TUTUNZE AMANI YETU hili ni JAMBO MOJA SANA LA muhimu....KINACHOTURUDISHA NYUMA MPAKA SASA NI KUWA NA VIONGOZI WA UPINZANI WAAJABU SANA wanaoangalia KUUDUMIA matumbo yao Badaala ya kutumiza WAJIBU WAO KAMA VIONGOZI....
Shule nilienda kabla hujazaliwaUlitakiwa kwenda shule kwanza kuondoa ujinga ulionao kabla ya kuja jf na coment za aibu.
Kama vile umekurupkaHuyu ngosha asije kujiroga akamsaidia Raila moja kwa moja kwani matatizo ya nchi ni makubwa kuliko urafiki na maslahi binafsi .
[HASHTAG]#BringbackBenAlive[/HASHTAG]
Kama vile umekurupka
Mpinzani Mkuu nchini Kenya Bw. Raila Odinga, amesema kwamba Uchaguzi ujao unaotarajiwa kufanyika hapo mwakani hatokwenda tena Mahakamani kupinga matokeo kama asiporidhishwa nayo bali atatumia njia mbadala yaani kuingia barabarani!
Ikumbukwe kwamba nchi ya Kenya, imeandika Katiba mpya ambayo imesema kwamba Tume ya uchaguzi ni Huru, kwa maana ya kwamba Uongozi wake hauteuliwi na Raisi wa nchi na vile vile imetoa uwezo wa matokeo ya Uraisi kupingwa Mahakamani, Mahakama ambayo Majaji wake hawateuliwi na Raisi wa Nchi, lkn pamoja na hayo yote bado Upinzani nchini Kenya unasema kwamba hauiamini Tume wala hiyo Mahakama na hawatapeleka malalamiko yao huko!
Hao ndiyo Upinzani, walikuwa wanalilia Katiba mpya na kudanganya watu kwamba ndiyo muarobaini wa matatizo ya Wakenya, sasa wameipata hiyo Katiba mpya na kwa kuwa tu imeshindwa kuwaingiza madarakani sasa hawataki kuitii, najiuliza swali hivi kulikuwa na haja gani kutumia muda na mabilioni ya fedha kuandika Katiba ambayo hamtaki kuitii?
Una jua sisi VIUMBE VYEUSI huwa tuna matatzo sana maana kamwe HATUWEZI RIDHIKA KWA KILE TUNACHOKIITAJI PALE TUNAPOKIPATA.....haya yanayotokea NCHINI KENYA ni mfano tosha kabsa ya HATA SISI HUKU siku tukipata hitaji la kuwa na TUME HURU ya UCHAGUZI still bado kutatokea WAPUUZI kusema TUME HII YA UCHAGUZI SI HURU...KAMA INAVYOTOKEA SASA NCHINI KENYA......watanzania WENZANGU TUTUNZE AMANI YETU hili ni JAMBO MOJA SANA LA muhimu....KINACHOTURUDISHA NYUMA MPAKA SASA NI KUWA NA VIONGOZI WA UPINZANI WAAJABU SANA wanaoangalia KUUDUMIA matumbo yao Badaala ya kutumiza WAJIBU WAO KAMA VIONGOZI....
hapa kuna willingness na ability.... huenda willingness walikuwa nayo ila ability ilikosekana. Ni kma waliopigania uhuru wa tanganyika na mapinduzi ya zanzibar walidhani ndio utakuwa mwanzo wa maendeleo ya mtanzania ila watashangaa wakifufuka leo baada ya miaka hamsini ni umaskini kila kona na ufisadi kila eneo la serikali. Hakuna usawa wala haki na nchi imejaa matabaka ya wenye nacho na wasionacho.Mpinzani Mkuu nchini Kenya Bw. Raila Odinga, amesema kwamba Uchaguzi ujao unaotarajiwa kufanyika hapo mwakani hatokwenda tena Mahakamani kupinga matokeo kama asiporidhishwa nayo bali atatumia njia mbadala yaani kuingia barabarani!
Ikumbukwe kwamba nchi ya Kenya, imeandika Katiba mpya ambayo imesema kwamba Tume ya uchaguzi ni Huru, kwa maana ya kwamba Uongozi wake hauteuliwi na Raisi wa nchi na vile vile imetoa uwezo wa matokeo ya Uraisi kupingwa Mahakamani, Mahakama ambayo Majaji wake hawateuliwi na Raisi wa Nchi, lkn pamoja na hayo yote bado Upinzani nchini Kenya unasema kwamba hauiamini Tume wala hiyo Mahakama na hawatapeleka malalamiko yao huko!
Hao ndiyo Upinzani, walikuwa wanalilia Katiba mpya na kudanganya watu kwamba ndiyo muarobaini wa matatizo ya Wakenya, sasa wameipata hiyo Katiba mpya na kwa kuwa tu imeshindwa kuwaingiza madarakani sasa hawataki kuitii, najiuliza swali hivi kulikuwa na haja gani kutumia muda na mabilioni ya fedha kuandika Katiba ambayo hamtaki kuitii?
huwa mnaunda ama mnafanya maigizo tu. Mkiunda msiingilie hakuna atakayelalamika sio mnaunda kma kiini macho ni kma kipindi kile mmempeleka chenge na tibaijuka tume ya maadili hvi mlikuwa mmemaanisha au maigizo tu???Vyama vingi ni unyonyaji tu.. Hapa Afrika.. Sasa kwanini wasifuate Taratibu.. Hapa ndio maana nimekubali kauli ya JPM waliotaka mambo ya Katiba.. Anajua ni kupotezeana mda tu
Ni sawa wa hapa Tanzania.. Utasikia tunataka tume huru ila bado ikiundwa kelele ni zile zile
mkuu ulifuatilia uchaguzi wa kenya 2013?? au unaongea tu kwasababu chama chako kimezoea kuiba kura hadi imefkia hatua mnaona kma ni haki yenu kupora ushindi as u did in zanzibar??.Una jua sisi VIUMBE VYEUSI huwa tuna matatzo sana maana kamwe HATUWEZI RIDHIKA KWA KILE TUNACHOKIITAJI PALE TUNAPOKIPATA.....haya yanayotokea NCHINI KENYA ni mfano tosha kabsa ya HATA SISI HUKU siku tukipata hitaji la kuwa na TUME HURU ya UCHAGUZI still bado kutatokea WAPUUZI kusema TUME HII YA UCHAGUZI SI HURU...KAMA INAVYOTOKEA SASA NCHINI KENYA......watanzania WENZANGU TUTUNZE AMANI YETU hili ni JAMBO MOJA SANA LA muhimu....KINACHOTURUDISHA NYUMA MPAKA SASA NI KUWA NA VIONGOZI WA UPINZANI WAAJABU SANA wanaoangalia KUUDUMIA matumbo yao Badaala ya kutumiza WAJIBU WAO KAMA VIONGOZI....