Wakenya hii hapa ni orodha ya watu mashuhuri waliowahi kusoma UDSM. Wekeni na nyie yenu tuone kama kuna chuo hapo Kenya kinatoshana na UDSM

Huwa mnasema Watz wengi wanakuja Kenya kusoma, ss tunaomba mtutajie ni kina nani hao kama wapo tuwajue kwamba wamegraduate Kenya, mm naanza na huyu hapa mkenya aliye graduate pale UDSM na akaja kuwafundisha sheria huko kwenu, anaitwa Willy Mutunga.
Alikua tayari keshakua mwana sheria hta kabla ya kuja UDSM[emoji1787][emoji1787]upo
 
Km UDSM ni iko vizuri, tutajieni watz waliosomea hapo tuwalinganishe na walenya waliosomea UON..
Nyie mnatuletea list za watu walioanzia kwngine na hko kuja kuongezea tu[emoji2960]

Nyumba ni msingi mzee baba..
Tuonyeshe watz wa UDSM tuwaone
Hehehehehe usijaribu kuharibu lengo la uzi tafadhali, tunaomba mtutajie ni watu mashuhuri gn wamewahi kusoma hapo kwenu na kugraduate ili tujue kwamba mnaweza kukaa level moja na Tz mana mmekuwa mkitengeneza data mitandaoni na kujisifu sifu kila kitu.
 
Ni kweli ila jamaa wapo wengi, sho madjozi pia amesoma Tanzania shule ya msingi. Hoja yake ya wanakuja chuo haina mashiko.
Wale wote mliowaorodhesha misingi ya elimu waliipatia makwao na wengine na kupata shahada ya kwanza hko hko..
Yani UDSM walifanya kupapitia tu wala msishtuke sana hvo
 
Bwahahah!!kwan UDSM kuna watu mashuhuri gani waliosomea hko?
 
Wale wote mliowaorodhesha misingi ya elimu waliipatia makwao na wengine na kupata shahada ya kwanza hko hko..
Yani UDSM walifanya kupapitia tu wala msishtuke sana hvo
Sawa tutajie na nyie waliowahi kupita hapo kwenu mana mtu mpaka anapanda ndege anatoka kwao anavuka nchi nyingi kuja kusoma kwenu si mchezo ujue.
 
Guys hatuwezi kuwa serious watz hatuoni aibu kujishindanisha na Kenya?? Tena kwa upuuzi kama huu wenzetu Teknolojia yao sio level zetu si tupo tunaweka ligi za ajabu...
 
Bwahahah!!kwan UDSM kuna watu mashuhuri gani waliosomea hko?
Hahahahaaa maanina, natumai baada ya huu uzi kuna kitu utakuwa umejifunza, next tutafungua uzi mwingine ili mjue ni viongozi gn mashuhuri walikuja kuchukua maarifa ya kivita hapa Tz najua utashangaa sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wamesoma TZ wanafaidika wengine uko au unajisifia Ada waliyo lipia?
 
Guys hatuwezi kuwa serious watz hatuoni aibu kujishindanisha na Kenya?? Tena kwa upuuzi kama huu wenzetu Teknolojia yao sio level zetu si tupo tunaweka ligi za ajabu...
Ona unavyokurupuka, nani anaongelea Technology hapa.
 
Km UDSM ni iko vizuri, tutajieni watz waliosomea hapo tuwalinganishe na walenya waliosomea UON..
Nyie mnatuletea list za watu walioanzia kwngine na hko kuja kuongezea tu[emoji2960]

Nyumba ni msingi mzee baba..
Tuonyeshe watz wa UDSM tuwaone
Wewe taja waliosoma hapo Kunyaland acha utopolo!
 
Hahahahaaa maanina, natumai baada ya huu uzi kuna kitu utakuwa umejifunza, next tutafungua uzi mwingine ili mjue ni viongozi gn mashuhuri walikuja kuchukua maarifa ya kivita hapa Tz najua utashangaa sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna mtu mashuhuri aliyesomea UDSM[emoji1787]
Mi nakataa
 
Ona unavyokurupuka, nani anaongelea Technology hapa.
Hyo hyo elimu tutajie mliowazalisha kutoka msingi mpka juu tuwalinganishe na wetu[emoji1787][emoji1787]
Ma professor wa tz mbona unaogopa kuwataja
 
Wote uliowataja hakuna aliyepikwa UDSM
Hahahahaaa, mwingineeeeee, natumai leo itakuwa mwisho wa Wakenya kujisifu kuhusu ubora wa elimu baina ya hizi nchi mbili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…