Ooh mara orodha ya vyuo bora waeke ila naona graduate wao wengi ndo wanasukuma mchakato wa covid-19 na BBI hakuna jingine wanajua. Hawa jamaa ni hamnazo kabsa hahhaha
Naomba watuambie ni watu gani mashuhuri wamepitia kwao mana huwa wanapiga kelele nyiingii kuhusu elimu wkt sisi ndiyo baba lao la kuzalisha watu wenye akili [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]