REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,890
Wenzetu wamekuwa wakipokea dozi za kichina kwa muda wote kuanzia ujenzi unaanza mpaka forever
Unaambiwa wanachapwa kama mandezi mchina mmoja tu anatosha kabisa kuwashughulikia ipasavyo idadi yoyote ya njemba za kikenya na somo likaeleweka barabara
Unaambiwa wanachapwa kama mandezi mchina mmoja tu anatosha kabisa kuwashughulikia ipasavyo idadi yoyote ya njemba za kikenya na somo likaeleweka barabara