Atambulike mara ngapi wakati mpaka BBC wanamjua billionea mpya.Hatuna mda wakuchezea, angekua Kenya tungekua tushamtangaza dunia nzima itutambue.ila nyinyi kama kawaida yenu bado mnakenuakenua meno mkiacha fursa za kupiga mpunga zikienda
Ndio maana mnataka hata kutambulika kuwa na wagonjwa wengi wa corona barani Africa, ha ha ha. Upuuzi mtupu.Hatuna mda wakuchezea. Angekua Kenya tungekua tushamtangaza dunia nzima itutambue.ila nyinyi kama kawaida yenu bado mnakenuakenua meno mkiacha fursa za kupiga mpunga zikienda
Ni jambo dogo ndio maana tumewazidi kwa idadi ya dollar millionaires, na huyo ameongezeka, so tunazidi kuwazidi idadi ya mafogo.Hivi huyo hapo ni bilionea kwa hela ipi, ile ya kwenu madafu au, maana kwenu huko kuitwa bilionea ni jambo ndogo saana maana mnatumia hela inayotunisha mifuko na kuchosha kuibeba ilhali haina thamani.
Nenda twitter.com search Tanzanite utaona habari zake zimeripotiwa na mainstream media kubwa zote duniani.Hatuna mda wakuchezea. Angekua kenya tungekua tushamtangaza dunia nzima itutambue, ila nyinyi kama kawaida yenu bado mnakenuakenua meno mkiacha fursa za kupiga mpunga zikienda.
Kenya hamna fursa yoyote ya kufanya Mkenya wa kawaida kabisa kuwa dollars millionaires, hamna.Hivi huyo hapo ni bilionea kwa hela ipi, ile ya kwenu madafu au, maana kwenu huko kuitwa bilionea ni jambo ndogo saana maana mnatumia hela inayotunisha mifuko na kuchosha kuibeba ilhali haina thamani...
Safari hii Mjomba Magu kawashika pabaya .Yale Mambo yenu yakujitangaza nyie ndiyo wazalishaji wa Tanzanite hakuna tenaHuyu Lazier ni wa kwenu kwani hata hilo jina linadhibitisha hilo.
B 7 dunia inakutambuaje?hatuna mda wakuchezea....angekua kenya tungekua tushamtangaza dunia nzima itutambue.ila nyinyi kama kawaida yenu bado mnakenuakenua meno mkiacha fursa za kupiga mpunga zikienda
Ni jambo dogo ndio maana tumewazidi kwa idadi ya dollar millionaires, na huyo ameongezeka, so tunazidi kuwazidi idadi ya mafogo.
Endelea kuiita ni hela ya madafu
[emoji1][emoji1][emoji1] Sarafu ya majirani ni hela ya madafu sio mchezo, hizo hela kwa KES ni kama 340 Million lakini Tz jamaa anaitwa bilionea.Hivi huyo hapo ni bilionea kwa hela ipi, ile ya kwenu madafu au, maana kwenu huko kuitwa bilionea ni jambo ndogo saana maana mnatumia hela inayotunisha mifuko na kuchosha kuibeba ilhali haina thamani.
Kwa hiyo sasa mnakubaliana na Knife frank waliposema idadi ya $Millionaires Tanzania inazidi idadi ya nchi zote za EAC combined?[emoji1][emoji1][emoji1] Sarafu ya majirani ni hela ya madafu sio mchezo, hizo hela kwa KES ni kama 340 Million lakini Tz jamaa anaitwa bilionea.
Jombaa, kila mwaka wakenya huwa wanashinda jackpot ya mabilioni(kwa hela za madafu Tzshs), cha ajabu hapo ni kwamba unaringa kwasababu ya bahati ya mwenzako. K.m huyu hapa alijishindia 5.2 billion, Tzshs. [emoji1] Lucky Kenyan wins Sh230 Million SportPesa JackpotHizo pesa mkenya wakawaida hawezi kuzipata,only corrupted politician ndio atapata za hivyo.
Tulishasema siku nyingi tu kuwa TZ dollar millionaires wanazaliwa kila uchwao thnx to the new mining system, kila mwezi wananchi wa kawaida wanauza madini mbali mbali ktk masoko maalum 25 yaliyopo nchi nzima. Mauzo yasiyo pungua US$ 15 million, monthly.Nimeshangaa Wakenya hadi sasa hawajamtambulisha huyu Laizer kwamba ni wa kwao na hiyo Tanzanite aliyoipata kaichimba Mererani ya KiambuuView attachment 1487911
Ni billionaire in US$Hivi huyo hapo ni bilionea kwa hela ipi, ile ya kwenu madafu au, maana kwenu huko kuitwa bilionea ni jambo ndogo saana maana mnatumia hela inayotunisha mifuko na kuchosha kuibeba ilhali haina thamani...
We mwenyewe una hizo pesa au ni maskini wa kutupwa pale tandale kazi ni kusifia ujingaHizo pesa mkenya wakawaida hawezi kuzipata,only corrupted politician ndio atapata za hivyo.