tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,972
- 20,221
Amekunja Tz sh 7.74B ambayo ni sawa na $3.35M ,kwa nyumbani ni billionaire ila kimataifa ni $millionaireHivi huyo hapo ni bilionea kwa hela ipi, ile ya kwenu madafu au, maana kwenu huko kuitwa bilionea ni jambo ndogo saana maana mnatumia hela inayotunisha mifuko na kuchosha kuibeba ilhali haina thamani.