Amekunja Tz sh 7.74B ambayo ni sawa na $3.35M ,kwa nyumbani ni billionaire ila kimataifa ni $millionaireHivi huyo hapo ni bilionea kwa hela ipi, ile ya kwenu madafu au, maana kwenu huko kuitwa bilionea ni jambo ndogo saana maana mnatumia hela inayotunisha mifuko na kuchosha kuibeba ilhali haina thamani.
kikikikikiiiiii.... hio zii.Pesa mbuzi??na unalipwa 12k kwa mwezi[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana mnataka hata kutambulika kuwa na wagonjwa wengi wa corona barani Africa, ha ha ha. Upuuzi mtupu.
Na unaita 350 hela mbuzi[emoji16][emoji16].kikikikikiiiiii.... hio zii.
labda nikienda kwa kikao kimoja masaa mawili/ matatu
Ni million 380[emoji1][emoji1][emoji1] Sarafu ya majirani ni hela ya madafu sio mchezo, hizo hela kwa KES ni kama 340 Million lakini Tz jamaa anaitwa bilionea.
yeah, kama kufurahisha mtoto wa KibongoNa unaita 350 hela mbuzi[emoji16][emoji16].
Nawewe kua mbuzi tu,maana utafanya mengi na 350mln ksh.
Siwezi Weka links zote hukuMbana usiweke link hapa? Unatutuma twitter kwa sababu sio ukweli.
Hahaha kumbe ni kushindaSportpesa jackpots watu walikuwa wanashinda almost that amount,
Huyo ni millionaire not billionaire.
Kuna mwenye alishinda takriban ksh 200 million.Hahaha kumbe ni kushinda
Yaani unalinganisha jackpots earning na business earning?
Yupi mkenya alishinda kes million 380? Au 3.6M$?
Amekunja Tz sh 7.74B ambayo ni sawa na $3.35M ,kwa nyumbani ni billionaire ila kimataifa ni $millionaire
Milioni 359,000,000/- Ksh, ila pesa yenu ina nguvu sana hilo twapongezaHivi huyo hapo ni bilionea kwa hela ipi, ile ya kwenu madafu au, maana kwenu huko kuitwa bilionea ni jambo ndogo saana maana mnatumia hela inayotunisha mifuko na kuchosha kuibeba ilhali haina thamani.
Gharama zile zile kama huwezi kumudu maisha yako kwa kua kipato chako kidogo bc we utakua uwezi tu hata ukilipwa kwa dola usilete propaganda hapa kwa thamani ya pesa .China ndio tishio kwa uchumi wa dunia sasa hivi, bc nao pesa zao tuite ela za madafu maana real 1 ni Tzs 5600 wakati yuan 1= 327 . Wenzako wanawaza kutumia kichwa sio wewe unatumia tope la kwenye makalioHivi huyo hapo ni bilionea kwa hela ipi, ile ya kwenu madafu au, maana kwenu huko kuitwa bilionea ni jambo ndogo saana maana mnatumia hela inayotunisha mifuko na kuchosha kuibeba ilhali haina thamani.
Ya mercuryPovu ni la nini majirani? Mimi nimefanya tu coversion Tshs-KES. Unasema huyo manzi alikuwa na 2KES akapewa 45tzshs. walizitoa wapi wakati sarafu yenu ndogo kabisa ni shilingi mia? [emoji1] Hivi unajua hii bidhaa Kenya madukani unainua kilo mbili kwa hiyo hiyo bei ya kilo moja nchini Tz?
Unajuaje alikuwa hana hata Mia?Suala sio B7, suala ni kuwa amezipata overnight, Overnight dollar Milionaire, Amelala hana hata Mia ameamka na Bilioni7, lazima atangazwe
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂Halafu matajiri wote Bongo ni waarabu na wahindi, kuna yule Mangi alikua anawakilisha nyeusi ila baada ya kuaga dunia hamna mwingine, kazi yenu kukusanyika na kuzaliana huko Tandale.
Labda wiziKenya hamna fursa yoyote ya kufanya Mkenya wa kawaida kabisa kuwa dollars millionaires, hamna.
Jaribu kufanya conversation ya hiyo TSH 7.8B into USD ndo utajua jamaa atakuoa wewe na jamaa zako hapo nailiiHivi huyo hapo ni bilionea kwa hela ipi, ile ya kwenu madafu au, maana kwenu huko kuitwa bilionea ni jambo ndogo saana maana mnatumia hela inayotunisha mifuko na kuchosha kuibeba ilhali haina thamani.