Wakenya Ile floating bridge yenu haifanyi kazi?

I know the area, nilibanwaga na uharisho, ferry la kwanza nikakosa, la pili nikapambana, aise niliteseka sana, fortunately niliwahi hotelini, ni kaenda jisaidia huko, bora hata wamewawekea iyo bridge, though nilidhani ni ya vehicles pia, kumbe ni ya watu tu, sio mbaya lkn.
 

There is no permanent bridge at Likoni because the channel is used by ships going to Mombasa port ,building a bridge would block their path .

Kuna permanent bridge inayoitwa Mombasa gate bridge ambayo itaanza kujengwa mwaka huu kuanzia mwezi wa June. Litakuwa ndefu zaidi ili kuruhusu meli (hata meli kubwa ya post-panamax) kupita chini na magari kupita juu. Litakuwa 70 metres high making it one of the tallest bridges in Africa







Details of New Ksh82B Mombasa Gate Bridge [VIDEO]​



  • An artistic impression of the Mombasa Gate Bridge.
    FILE
  • In June 2021, construction work will begin on one of Kenya's most ambitious projects, the Mombasa Gates Bridge (MGB).
    Estimated to cost Ksh82 billion, the bridge will connect Mombasa Island with the South Coast, replacing a ferry operation, which first began operation in 1937, and the recently opened Liwatoni floating footbridge.
    A feasibility study carried out by the Kenya National Highway Authority (KeNHA) for the 1.4km bridge is now complete and construction of the link bridge is expected to take 36 months to complete.
    The cable-stayed/powered bridge will carry four traffic lanes and will be 69-Metre high at mid-point, leaving sufficient space for ships to pass underneath so as to access the busy Kilindini area of the port.
  • https://www.google.com/amp/s/www.kenyans.co.ke/news/60744-details-new-ksh82b-mombasa-gate-bridge-video?amp=1
 
Uliwezaje kubana uharisho? Hio huwa haibaniki. Pole kwa mateso uliyopitia.
 
There is no permanent bridge at Likoni because the channel is used by ships going to Mombasa port ,building a bridge would block their path .
You should look for plan B, construct a tunnel
 
wapi 3 km bridge?
 
300k ni namba kubwa sana, inatosha kuwajengea decent bridge la kuvusha magari pamoja na pedestrians, kama Tz tulivojenga Kigamboni, na tunavojenga Sarenda na Kigongo Busisi kule Mwqnza,
Magari yatalipia na pedestrians watavuka free.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…