pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Mchepuko Kenya ndo umuoe officially lazima upate idhini ya mke bana. 'In writting' tena, kwa mujibu wa katiba mpya ya Kenya 2010. Sasa tufanyeje sisi? 😀Si ndo uoga wenyewe huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchepuko Kenya ndo umuoe officially lazima upate idhini ya mke bana. 'In writting' tena, kwa mujibu wa katiba mpya ya Kenya 2010. Sasa tufanyeje sisi? 😀Si ndo uoga wenyewe huo
Kwani mnauza nini?Haha hatwaogopi
Si lazima ukuwe na clandee si ubaki tu na bibi mmoja lkn nyie wengine waoga bibi ndo utakuta anachakarika kulisha na kutunza familia mume akiona vyuma vimekaza km vya tz anakimbianyumbaMchepuko Kenya ndo umuoe officially lazima upate idhini ya mke bana. 'In writting' tena, kwa mujibu wa katiba mpya ya Kenya 2010. Sasa tufanyeje sisi? 😀
Nakuona, eti Clandee. Nimeipenda hiyo. Naona Nai unaijua vizuri tu. Vilaza pekee yake ndo huwa wanaacha wake zao wachangamke solo ikifika ni shughuli ya kuindeleza familia. Some of us would rather die than not be the best fathers ever to their kids. Hata vyuma vikikaza design ya mbaya mbovu. Believe you me, majority of Kenyan men don't fit your description.Si lazima ukuwe na clandee si ubaki tu na bibi mmoja lkn nyie wengine waoga bibi ndo utakuta anachakarika kulisha na kutunza familia mume akiona vyuma vimekaza km vya tz anakimbianyumba
Naomba unitumie na link ya love connect
Halafu Wana makomwe na viparaMadem wa Kenya wanasura mbaya kinoma
aise wanachapaga mbata mabwana zao ,kwakweli kwa ss watz mwanamke kukuchapa mbata ni aibu kubwa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1]
halafu kugawa mabazi kwa waume zao ,wako vizur hatari.Madem wa Kenya wanasura mbaya kinoma
Mkenya wa mchongo.Wakenya hatuna time na love connect
me said that.
[emoji3][emoji3][emoji3] Yes yesMkenya wa mchongo.
Hao Ni wapiga mizings hatarii nakwambia,,hata sisi wenyewe tunawaogopaNatafuta msichana mkikuyu
Acha kuongea pumba mkuu, hivi umetumia sample ya wanawake wangapi ndo ukajua wanawake wa Kenya Ni sura mbaya?Madem wa Kenya wanasura mbaya kinoma
Zura mbaya zikojeMadem wa Kenya wanasura mbaya kinoma