Wakenya jamani mbona huwa siwaoni jukwaa la love connect?

Wakenya jamani mbona huwa siwaoni jukwaa la love connect?

Mchepuko Kenya ndo umuoe officially lazima upate idhini ya mke bana. 'In writting' tena, kwa mujibu wa katiba mpya ya Kenya 2010. Sasa tufanyeje sisi? 😀
Si lazima ukuwe na clandee si ubaki tu na bibi mmoja lkn nyie wengine waoga bibi ndo utakuta anachakarika kulisha na kutunza familia mume akiona vyuma vimekaza km vya tz anakimbianyumba
 
Si lazima ukuwe na clandee si ubaki tu na bibi mmoja lkn nyie wengine waoga bibi ndo utakuta anachakarika kulisha na kutunza familia mume akiona vyuma vimekaza km vya tz anakimbianyumba
Nakuona, eti Clandee. Nimeipenda hiyo. Naona Nai unaijua vizuri tu. Vilaza pekee yake ndo huwa wanaacha wake zao wachangamke solo ikifika ni shughuli ya kuindeleza familia. Some of us would rather die than not be the best fathers ever to their kids. Hata vyuma vikikaza design ya mbaya mbovu. Believe you me, majority of Kenyan men don't fit your description.
 
MA PLAYER NI WENGI, WANATAKA ONE 9T STAND, ON THE OTHER HAND MADADA WENGI WA KIKENYA WANANUNUA WANAUME KWA AJILI YA KWICHI KWICHI NDIYO MAANA WANAUME WA KENYA WENGI HUWEZI WAONA HUKO
 
Mademu waki kenya wapo after money sanaa, huwa na link nao ktk dating site yaan unalikuta li mama la 50's yrs old eti bafo lina saka danga la kumtoa kimaisha 😆😆😆 .... Alafu wananpenda wazunguuu haoo

Wana shida sanaa, they are not romantic at all
 
Wakenya hatuna time na love connect

me said that.
 
Madem wa Kenya wanasura mbaya kinoma
Acha kuongea pumba mkuu, hivi umetumia sample ya wanawake wangapi ndo ukajua wanawake wa Kenya Ni sura mbaya?

Njoo nikutembeze nchini kwetu ukajionee pisi Kali
 
Back
Top Bottom