Wakenya Jifunzeni kupika chakula kizuri nimechukizwa sana

ila wanawake wakenya ni wakatili sana sijui kama kuna mwanaume wa kenya anaenjoy ndoa yake .ni wababe sana hawana adabu .jeuri ,hawana heshima hata tone
Bora kidogo kwa waluo ila wakikuyu balaa mwanamke kama mwanaume vile mnasimama nae na humwambii Kitu .wanapigwa sana mpaka wanakimbia nyumba
 
pande za kaskazini hakuna mapishi kabisa hata wachaga wamejua kupika juzijuzi tu hapa nao ilikuwa majanga
Punguza kudharau dada. Njoo tukupikie makukuru na kibulu utasahau njia ulotokea. Ulishwahi kunywa mtori wewe? Unajua asili yake? Alafu nikikupeleka boma kwa kokoo akupe loshoro huku Nyangusii anachoma nyama pembeni ya sariko si utaenda kutuchungia ng'ombe wewe?
 
Mi nadhani ukweli utabaki kuwa !! Wanaposema mapishi hawamaanishi chakula cha kila siku kwenu! angalau ujue kupiga vyakula ambavyo si vya kikabila , pia creativity kwenye mapishi! vyakula ambavyo huliwa na most people!!!
sasa makukuru ndio nini?
 
Laiti kama English ingekuwa first language apa Nchini au tu ipewe kipaumbele leo, Tz ingekuwa most visited country E.A
 
ila wanawake wakenya ni wakatili sana sijui kama kuna mwanaume wa kenya anaenjoy ndoa yake .ni wababe sana hawana adabu .jeuri ,hawana heshima hata tone
Hapo ni kweli, huwa tunawapa mfano wa Kitanzania, yaani wajeuri sana wanawake wetu, lakini tumewazoea, twajua kudil nao!!
 
Laiti kama English ingekuwa first language apa Nchini au tu ipewe kipaumbele leo, Tz ingekuwa most visited country E.A
Sasa hivi kuna matabaka Tanzania, wale waliosoma English medium wanaongea lakini bado 80% ya watoto wa under 16 bado hawajui kabisa English.
 
ila wanawake wakenya ni wakatili sana sijui kama kuna mwanaume wa kenya anaenjoy ndoa yake .ni wababe sana hawana adabu .jeuri ,hawana heshima hata tone
Wengi shule iko kwa mkichwa sasa wewe standard seven ya mkoloni Upo tu kila kitu unamtegemea Mr hio jeuri unaitolea wapi asee?
 
Sasa hivi kuna matabaka Tanzania, wale waliosoma English medium wanaongea lakini bado 80% ya watoto wa under 16 bado hawajui kabisa English.
Hilo ni Tatizo ni lazima mitaala ya kutokea Elimu ya chini iwe English mpaka vyuo vikuu ni Ajabu Wabunge au watunga sera za kungangania kiswahili watoto wao wako English medium na Nje huko hata accent zao za Kiswahili ni mbovu
 
Ni kweli nimesoma na wakenya chuo kiukweli kupika kwao ni zero, yaani ni kero in la wanaenjoy sana kula kilichopikwa vizuri na wengine
Tena utamkuta kakunja hadi mgongo hata hdongei yupo bize na msosi mtamu
 
Hilo ni Tatizo ni lazima mitaala ya kutokea Elimu ya chini iwe English mpaka vyuo vikuu ni Ajabu Wabunge au watunga sera za kungangania kiswahili watoto wao wako English medium na Nje huko hata accent zao za Kiswahili ni mbovu
Mkuu hili tatizo haliwezi kuisha mara moja, ni walimu wachache pia wanaomudu lugha hii. Haya yote yametokana na mfumo mbaya wa elimu, miaka mingi iliyopita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…