Wakenya Jifunzeni kupika chakula kizuri nimechukizwa sana

Wakenya Jifunzeni kupika chakula kizuri nimechukizwa sana

Nilikutana na maofisa wa Immigration kutoka Nigeria walikua wanatembelea East Africa, walikaa Nairobi na Mombasa wakaja Tanzania na baada ya hapo walikua wanaelekea Uganda. Waliniambia kwa msosi bwana Tanzania, walichanganyikiwa na kiepe, totoz wanasema watoto wazuri lakini lugha ndiyo inaweka mipaka.
madem wa kenya ni weusi mno,
 
Laiti kama English ingekuwa first language apa Nchini au tu ipewe kipaumbele leo, Tz ingekuwa most visited country E.A
Hata sasa hivi Tanzania ndio inaongoza kwa kutembelewa na watalii wengi na kupata pesa nyingi zaidi kwenye utalii.
 
Wakenya badilikeni bwana ndio msosi gani huu sasa

fc325f462a59f54154b652a9dc498699.jpg
 
Ungeenda Uganda au Rwanda sijui ungeandika nn, Uganda vyakula vinachanganywa, ukiagiza chakula utawekewa matoke ugali, magimbi na wali kwny sahani moja, hawauzi chakula cha aina moja.(kwa rrstourant za kawaida hotel kubwa sina uhakika)
Rwanda wao tatizo uchafu, acheni utani hao watu usafi ni cheche!!
 
staki kukumbuka kipind nafanya biashara yan nikiwaza safar ya Kenya nilikuwa nakosa raha kabisa...
 
Ungeenda Uganda au Rwanda sijui ungeandika nn, Uganda vyakula vinachanganywa, ukiagiza chakula utawekewa matoke ugali, magimbi na wali kwny sahani moja, hawauzi chakula cha aina moja.(kwa rrstourant za kawaida hotel kubwa sina uhakika)
Rwanda wao tatizo uchafu, acheni utani hao watu usafi ni cheche!!
Kuna jamaangu alisoma Uganda akaniambia unashangaa hawa wakenya ukienda Uganda ndo utakoma.nilishangaa sana tujipongeze kwakweli watanzania tunafahamu mapishi matam tam
 
Mbona.hata tz vilevile huko pwan ndio wanajali mambo.msosi na wanapika balaaaa

Hata ukitazama migahawa ya watu.wa pwan au wapemba duuh

Ila twende mbele na kuludi nyuma kitmoto malidhawa inapatika kaskazini na nyanda ya juu kusini (mbeya na kilimanjaro) wanatengeneza kitimoto bhana ,mchicha pemben na ndizi

Vile vile kanda ya ziwa hawa jamaaa samaki wanazitendea haki vukila supu ya sato ni balaaa

Ila pwan ni funga kaz wali,mboga aina zote nk
 
Wakenya na jiko wapi na wapi...wao wanapika wali na hoho karoti kitunguu maji na nyanya huo mchanganyiko sijawahi kuuona tena alafu ndio msos eti[emoji23][emoji23]
Shenzi kuna demu mmoja mkenya alinialika ndio kitu alipika nilishindwa kucheka
 
Nilikutana na maofisa wa Immigration kutoka Nigeria walikua wanatembelea East Africa, walikaa Nairobi na Mombasa wakaja Tanzania na baada ya hapo walikua wanaelekea Uganda. Waliniambia kwa msosi bwana Tanzania, walichanganyikiwa na kiepe, totoz wanasema watoto wazuri lakini lugha ndiyo inaweka mipaka.
No English no service, teh
 
Hahahahahahaha lol! ulikula chakula gani Mkuu? Bokoboko? Ila kusema kweli vyakula vyetu Wabongo bomba sana na wanawake wa kibongo kukkangiza mahanjumati wanaweza sana. Umeshawahi kuona misosi ya kisomali? Ina mafuta ya kuchuruzika nina marafiki zangu wa kutoka huko huwa nawatolea nje kwenye vyakula vyao.

Wakenya habari zenu

Hivi majuzi nilikuwa sehemu moja inaitwa bondo kisumu huko tumepata mwanamke kwa kweli nilifurahia sana mazingira ya huko ikiwa ni pamoja na miundo mbinu ya Barabara.

Shughuli ilikuja kwenye chakula sikufurahishwa kabisa na upishi wa vyakula vyenu hii hata Nairobi nimeiona .jifunzeni kupika bana
 
Back
Top Bottom