Wakenya Jifunzeni kupika chakula kizuri nimechukizwa sana

Wakenya Jifunzeni kupika chakula kizuri nimechukizwa sana

Very funny thread.
Ukija Kenya, tathmini ni sehemu gani unatembelea. Itisha chakula asilia cha mji huo. Kwa mfano ukiwa kisumu ama sehemu za nyanza, sima na samaki utaenjoy. Usiitishe pilau eldoret, hiyo nenda ukaagize Mombasa au Nairobi.
Vyakula vya Kenya ni aina nyingi. Tuseme nikama wanaspecialise hivi. Western na kuku, utapenda.Mimi kwa mfano nikiwa nyeri nitakula mokimo na mbuzi choma.
Samaki Wa kipakwa na waachia wa-amu.
Kinacholeta shida si aina ya chakula. Tatizo mapishi yani hawajui kupika mimi huko bondo walipika Samaki na ndizi nafikiri ni chakula cha asili yao lakini tatizo hawajui mapishi chakula kikawa kitamu
 
pande za kaskazini hakuna mapishi kabisa hata wachaga wamejua kupika juzijuzi tu hapa nao ilikuwa majanga
Miss unawaonea bana. . .
Kule Malari ni balaah!!

Cjaona sehemu nyingine wanayopika ndiz kama za kule. Kimwonekano ni kawaida ila ukiiweka kwenye ulimi ni hatarii
 
Nilikutana na maofisa wa Immigration kutoka Nigeria walikua wanatembelea East Africa, walikaa Nairobi na Mombasa wakaja Tanzania na baada ya hapo walikua wanaelekea Uganda. Waliniambia kwa msosi bwana Tanzania, walichanganyikiwa na kiepe, totoz wanasema watoto wazuri lakini lugha ndiyo inaweka mipaka.
[emoji12]
 
Kule mgombani nyama ikishakua na mafuta na ikichanganywa na ndizi chumvi mbona vinatosha.


Waambie kabisa nyama nzuri ndizi tosha mengine wanajua wao habari za nyanya chungu ndulele na bamia majani ya tuuta
 
Wako busy na kutandika makofi wanaume wao hawana mda wa kujifunza kupika hao wasamehe
 
Si tamaduni zao... big up kwa wadada wan tz... jikon wako vizuri
 
Nilikutana na maofisa wa Immigration kutoka Nigeria walikua wanatembelea East Africa, walikaa Nairobi na Mombasa wakaja Tanzania na baada ya hapo walikua wanaelekea Uganda. Waliniambia kwa msosi bwana Tanzania, walichanganyikiwa na kiepe, totoz wanasema watoto wazuri lakini lugha ndiyo inaweka mipaka.
Mkuu umeshindwa kukaba lkn![emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Si manjua hawajui kubembeleza. Wanawake wa-TZ wanabembeleza hadi kwa kutumia mwiko chakula kinakuwa lainiiii.

Sasa nenda kwa Mkenya utasikia RETA KITUNGUU WEKA KIZIMA-KIZIMA, BONYEZA NYANYA IPASUKE RUSHA KWENYE SUFURIA halafu pakua mara moja peleka kwa yule kijana.
Eti bonyeza nyanya [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Waterloo

mkulu mwaka 2009 kuna ndoa kibao za wakenya ziliota mbawa. wanawake wa Tanzania walipora waume wa kikenya. kuna mmoja wakawa wanamhoji. kwa nini umeacha bibi ya kikenya umechukua ya kitanzani, eti jamaa linajibu ile chakula niliyokula kwa ile mwanamke sijawahi kula toka nasaliwa. hata mama yangu hajawahi pikanga chakula kama ile. halafu nikifika toka kasini ile mwanamke inanipokea halafu inanivua viatu na shati. inanipakulia chakula. nikianza kula haiondoki inaniongelesha lugha nzuri na laini huku iangalia usoni na kutabasamu. nikibakisa chakula inanibembeleza nimalize huku inanipapasa kwa tumbo. uuwiii Mimi hapana rudi tena kwa ile bibi ingine.

nikajua hiyo ndo shida ya kuchepuka uzeeni. ahaaa haaa haaa. mzee anatelekeza nyumba ati.
 
Nilikutana na maofisa wa Immigration kutoka Nigeria walikua wanatembelea East Africa, walikaa Nairobi na Mombasa wakaja Tanzania na baada ya hapo walikua wanaelekea Uganda. Waliniambia kwa msosi bwana Tanzania, walichanganyikiwa na kiepe, totoz wanasema watoto wazuri lakini lugha ndiyo inaweka mipaka.
Ungefanya ukarimani ukawapa fursa wadogo zako buana
 
Back
Top Bottom