mzalendoalltz
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 828
- 709
Huwa nakisikia haya majamaa yanavyoongea kwa kujigamba unaweza ukahisi hii dunia ni mali yao, kumbe kazi ya ni kusaini tu mikataba bila hata kuangalia ina athari gani.
Kuna Mkenya humu kaandika uzi kwa majigambo akishangilia kuona viongozi wake wakisaini mikataba ya EPA bila hata kuangalia nn madhara yake. Hongera sana Magu kwa kuikataa EPA na Bagamoyo project mpaka kieleweke
Wakati ule Kenyatta alivyoenda China kusaini mikataba ya kukopa fedha y kujenga reli Nyumbu kama kawaida yao mlishangilia sana. Sasa ona hii someni wenyewe mie sipo
Hua Chunying:Our decision to take over Mombasa port is only a favour.Kenya owes China a lot -
Kenya in trouble as China threatens to take over Mombasa Port Next year -
Kuna Mkenya humu kaandika uzi kwa majigambo akishangilia kuona viongozi wake wakisaini mikataba ya EPA bila hata kuangalia nn madhara yake. Hongera sana Magu kwa kuikataa EPA na Bagamoyo project mpaka kieleweke
Wakati ule Kenyatta alivyoenda China kusaini mikataba ya kukopa fedha y kujenga reli Nyumbu kama kawaida yao mlishangilia sana. Sasa ona hii someni wenyewe mie sipo
Hua Chunying:Our decision to take over Mombasa port is only a favour.Kenya owes China a lot -
Kenya in trouble as China threatens to take over Mombasa Port Next year -