Ni waislam wametapeli waislam sioni kenya ikiingia apo
Mbona wakenya wengine wakitapeliwa hua hatusemi "wakristo" watapeliwa?????? Acha kuingiza udinindani ya hilo tendo, mtapeli ni mtapeli, na mtapeliwa ni mtapeliwa, hakuna cha dini wala nini,
Kwani hao waislam sio wakenya au kuna kabila au nchi ambayo inaitwa waislamu?Waislamu kukosa Hijja baada ya ''kutapeliwa'' maelfu ya dola na Wakala wa Hajj nchini Kenya
Waislamu kukosa Hijja baada ya ''kutapeliwa'' maelfu ya dola - BBC News Swahili
Takriban Waislamu 30 nchini Kenya wanadaiwa kushindwa kusafiri kwenda Makka nchini Saudi Arabia kwa ajili ya kutekeleza nguzo muhimu katika dini ya kiislam ya Hijja baada ya kutapeliwa na wakala nchini Kenyabbc.in
Kwahio leo majambazi wakiingia ndani kwako wakaiba heading itakuwa watanzania wamuibia mwananchi ?Kwani hao waislam sio wakenya au kuna kabila au nchi ambayo inaitwa waislamu?
Wezi wameingia wakaiba,mwizi haibii dini wala kabila lakini anaibia mtu binafsi.Kwahio leo majambazi wakiingia ndani kwako wakaiba heading itakuwa watanzania wamuibia mwananchi ?