Wakenya Kulikoni Kutapeli Waislamu?

Wakenya Kulikoni Kutapeli Waislamu?

Duh!!yani jamaa na akili zao wameshapiga hela..hta hofu ya Mungu hawana kabisa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yani nmecheka sana hta mm
Mbona wakenya wengine wakitapeliwa hua hatusemi "wakristo" watapeliwa?????? Acha kuingiza udinindani ya hilo tendo, mtapeli ni mtapeli, na mtapeliwa ni mtapeliwa, hakuna cha dini wala nini,
 
Waislamu kukosa Hijja baada ya ''kutapeliwa'' maelfu ya dola na Wakala wa Hajj nchini Kenya
Kwani hao waislam sio wakenya au kuna kabila au nchi ambayo inaitwa waislamu?
 
Sisi waswahili husema Mjini shule, Yaani kuzaliwa mjini pekee ni sawa na Kidato cha nne wa kijijini,
Japo wengine tumetoka vijijini na sasa tushakuwa wa mjini zaidi ya waliozaliwa mjini,
Maisha ni kama kioo, ukiyachekea nayo yanacheka, ukinuna pia yananuna[emoji2][emoji2]
[emoji2][emoji2][emoji2]
Watu wanaingia kingi, Watu wanaweka na mihemko ya imani halafu wanapigwa pesa, Watoto wa Mujini wanatengeneza pesa.
 
Back
Top Bottom