Kenya 2022 Wakenya kwa kauli hizi, anafaa kuwa Rais huyu ndugu yenu?

Kenya 2022 Wakenya kwa kauli hizi, anafaa kuwa Rais huyu ndugu yenu?

Kenya 2022 General Election

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
20220806_151522.jpg
 
True colour inajionyesha...na Kenyatta keshamwambia atatambua kuwa yeye ndio Raisi wa Kenya ..hawezi pewa nchi coz ana hasira kwa watu wengi ..akiingia ataumiza watu..so hawezi achiwa akaongoza kenya
 
True colour inajionyesha...na Kenyatta keshamwambia atatambua kuwa yeye ndio Raisi wa Kenya ..hawezi pewa nchi coz ana hasira kwa watu wengi ..akiingia ataumiza watu..so hawezi achiwa akaongoza kenya
Nimekuwa nafuatilia siasa za Kenya na kipindi hiki cha kampeni, huyu jamaa simuelewi kabisa kutokana na kauli zake.
 
Msipanick majirani, kwa haya maneno makali ya hawa wanasiasa wetu ni hali ya kawaida tu hiyo. Kikenya huwa inaitwa 'omundu kho mundu', yaani 'man to man'. Siasa bila unafik, kama wewe ni paka unaitwa nyauu, live live, sio simba aliyenyeshewa. 😆
 
Fala huyo, ye ndo atatupwa the hague. Wakubwa wa Dunia walishapanga bora Odinga na sio huyo primitives man. Kenya ndio center ya wakuu wa dunia kama base ya kucontrol East, and central africa baada ya hapo base ni South Africa.
Ruto anajiandae kwenda the hague akileta fujo au vurugu yeyeto. Yaani upige kura usipige kura tayari lazm Odinga atangazwe ilishapangwa hii. Wiki ijayo sio mbali. Note uzi huu.
 
Yaani upige kura usipige kura tayari lazm Odinga atangazwe ilishapangwa hii.
Aiseee, sasa mbona yeye mwenyewe tayari kasema Raila asijaribu kufanya aliyofanya huko nyuma, means hawezi kubali any fake results na anaeza anzisha zurugu huyo mtu!.
 
Aiseee, sasa mbona yeye mwenyewe tayari kasema Raila asijaribu kufanya aliyofanya huko nyuma, means hawezi kubali any fake results na anaeza anzisha zurugu huyo mtu!.
Hujamuelewa jombaa, anamaanisha kwamba ana imani kwamba atashinda. Ila hana imani kwamba Raila atakubali matokeo. Kwamba Raila akianza chokochoko, kama zilizopelekea kujiapisha kwake uchaguzi wa 2017, hatakuwa 'soft' kwake kama rais UK. Eti watapelekeshana hadi kieleweke.

Kumbuka kwamba kashfa zote hizo na ukomavu wa rais Kenyatta kidiplomasia ndio zilisababisha ile 'handshake' kati yake na RAO. Handshake ambayo mwishowe ilimfanya Arap Ruto apigwe 'sub', ndani ya serikali ambayo yeye ndiye aliyekuwa captain msaidizi.
 
Huyu jamaa sidhani kama anaweza kukubali matokeo tofauti na yale anayoyafikiria kichwani mwake. Our Northern neighbors are going through uncharted territory, let’s hope cool heads will prevail…
 
I understand pingli-nywee ila why anaonesha hawezi kukubali matokeo yoyote yawe ya kweli au uongo au anajua lazima ashinde?.
 
Aiseee, sasa mbona yeye mwenyewe tayari kasema Raila asijaribu kufanya aliyofanya huko nyuma, means hawezi kubali any fake results na anaeza anzisha zurugu huyo mtu!.
Huyo anatapata hata wakuu wa ulimwengu wa kiroho awamkubali Ruto yaani hayupo hata kwenye radar zao,Ruto ni running president candidate kama mkimbiza upepo tu.
Lakini Odinga ni elected president
 
Zimebaki siku chache tunzeni hii quotes mlete mrejesho.Ipo hivi duniani nzima ikiwemo serikali zote za duniani zipo chini ya nguvu za mamlaka ya watawala wa ulimwengu usioonekana, chochote kabla hakijafanyika ktk ulimwengu wa macho tayari kilishafanyika au afikiwa ktk ulimwengu usioonekana.
Uwe unataka utaki unakubali ukubali sisi sote tunaongozwa na nguvu zilizo nje ya uwezo wetu ambazo zipo ktk ulimwengu wa siri.
Kama serikali tu inawatambua wazee mfano wazee wa Dar ukadhani ni wazee as wazee sababu ya mvi au umri upo nyuma upo wrong,wale ni watu wazito Sana katk ulimwengu ulionekana wapo physical kuwakilisha wakuu wa ulimwengu usioonekana.
Ni SAwa na vatican, vatican si kama vatican ni zaidi ya vatican,thus wakuu wote wa duniani bila kujali dini ni lazima wasalute kwa Pope. Raila Odinga alimshinda UHURU uchaguzi uliopita akawa ajakubaliana masharti ya wakuu wa dunia thus akachezewa mchezo akapewa UHURU, Then anaitwa akaitwa akayakubali masharti thus anachukua this time hata Kenyatta analijua hili ndo maana kaamua kuwa upande wa Raila.
Kwann kambi ya Raila itashinda.
1.Wakenya wamechoka kutawaliwa na kabila/ ukanda mmoja miaka yote, wanataka kubadilisha ladha.
2.Kambi ya Odinga ni strong Ina wagombea smart na wameshauzika miaka mingi sana yaani Odinga na Martha Karua kuliko kambi ya Ruto pia ni wanasiasa mahiri na ni wachapa Kazi wakenya wanaona watavusha na sio ile kambi ya mafisadi.
3.Kambi ya ODIMA yaani Martha na Odinga Ina makampeni meneja smart na makini Sana kuliko kambi ya Ruto.
4.Ruto anajibomboa mwenyewe kwa kauli zake za chuki na visasi na ukosefu wa nidhamu.
5.Ruto ana visasi hana utulivu wa akili yaani sio matured and civilized enough kuongoza nchi,kiburi mjuaji mapepe yaani saikolojia yake haijabalance bado kulinganisha na Odinga,pia ni dictator hofu atawaletea machafuko wa Kenya.
6.Wakuu wa duniani hawawezi ruhusu hayawani aingie ikulu, Kenya ni muhimu Sana kama base ya kucontrol East, and Central Afrika ikiwemo Ghuba ya Aden. Utulivu wa Kenya ni muhimu Sana kwa interest zao.
7.Katika ulimwengu usioonekana wao chaguo lao ni Odinga kwa maana ni rahisi kumcontrol kinyota na sio Ruto yeye hayupo kabisa kwenye radar zao.
8.Ruto ni fisadi,Ruto ni mwizi.
Wiki ijayo sio mbali tunzeni post hii.RAILA AMORO ODINGA ndie next president wa Kenya.
 
Aseee Kalunya nimekuelewa kwenye reply yako, japo umewadokeza deep state kazi zao na kumpa mzee baba Omoro nchi ila mimi bado najiuliza, huyu jamaa Ruto atakubali kushindwa kulingana na kauli zake?.
 
Back
Top Bottom