Kenya 2022 Wakenya kwa kauli hizi, anafaa kuwa Rais huyu ndugu yenu?

Kenya 2022 Wakenya kwa kauli hizi, anafaa kuwa Rais huyu ndugu yenu?

Kenya 2022 General Election
Hujamuelewa jombaa, anamaanisha kwamba ana imani kwamba atashinda. Ila hana imani kwamba Raila atakubali matokeo. Kwamba Raila akianza chokochoko, kama zilizopelekea kujiapisha kwake uchaguzi wa 2017, hatakuwa 'soft' kwake kama rais UK. Eti watapelekeshana hadi kieleweke.

Kumbuka kwamba kashfa zote hizo na ukomavu wa rais Kenyatta kidiplomasia ndio zilisababisha ile 'handshake' kati yake na RAO. Handshake ambayo mwishowe ilimfanya Arap Ruto apigwe 'sub', ndani ya serikali ambayo yeye ndiye aliyekuwa captain msaidizi.
May the will of Kenyan people prevail. "My friend" akishinda well and good. Equally Baba akishinda, safi pia. Where i get hazy hili la mgombea kupiga kampeni tangu 2013 linashangaza kweli. Wajameni uongozi, is it a matter of life and death?
 
Raila akiukosa Urais wa Kenya lazama apate stroke na afya yake itakuwa kama ya Lowassa
 
Aseee Kalunya nimekuelewa kwenye reply yako, japo umewadokeza deep state kazi zao na kumpa mzee baba Omoro nchi ila mimi bado najiuliza, huyu jamaa Ruto atakubali kushindwa kulingana na kauli zake?.
The hague inamhusu.
Mbona Odinga alilazimishwa kukubali japo aliibiwa.
Labda yakija tokea kama ya tza Ruto aje apambane na Martha.
 
Back
Top Bottom