Padri Mcharo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 1,899
- 3,688
Niaje wazeiyaaaaaaaah.....
EBANA SAWA:
Nyie wakenya mbona hamueleweki mko fluent in English, Swahili or Kikuyu ...
Yaani mnapoongea, mnapoandika na vile mnavo mix maneno na lugha basi hata hamueleweki mnatumia lafudhi gani....
Kizungu sio kizungu.. Kiswahili sio Kiswahili... Kikuyu sio Kikuyu...
Yaani mpo mpo tuuu... Chagueni moja basi....
Hamuoni jirani zenu wanatumia lafudhi nzuri maridhawa ya Kiswahili safi kabisa.
Mnajua ndio maana hata muziki wenu umekufa, Jirani zenu wamekuja kuteka market KE nzima...
Badilikeni bana.. Kuweni na lafudhi nzuri maridhawa maridadi yenye mvuto.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng.
EBANA SAWA:
Nyie wakenya mbona hamueleweki mko fluent in English, Swahili or Kikuyu ...
Yaani mnapoongea, mnapoandika na vile mnavo mix maneno na lugha basi hata hamueleweki mnatumia lafudhi gani....
Kizungu sio kizungu.. Kiswahili sio Kiswahili... Kikuyu sio Kikuyu...
Yaani mpo mpo tuuu... Chagueni moja basi....
Hamuoni jirani zenu wanatumia lafudhi nzuri maridhawa ya Kiswahili safi kabisa.
Mnajua ndio maana hata muziki wenu umekufa, Jirani zenu wamekuja kuteka market KE nzima...
Badilikeni bana.. Kuweni na lafudhi nzuri maridhawa maridadi yenye mvuto.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng.