Hivi kwanini msiongee English mnayoitambia tu kuliko kuongea Kiswahili mnachotuharibia sana katika matamshi
Heee! jamani tulitamba lini kuwa sisi ni Walugha lugha wa koloni?? waingereza? yelewiii .... kuliko waingereza wenyewe au? sasaa!! wapi? Nani? Nini? Lini? Kwanini? Muongo mkubwa na mnafiki weye!!! ....
hatujawahi kutamba kuwa sisi ni wajuvi wa Lugha ya mkoloni, isipokuwa wewe ni inferiorities complex zako zinakusumbua mwenyewe hasa ukiona wakenya wanavyo flow Lugha za waliokutawala Africa! na
kukuuza km mbuzi wa kafara kwa sababu tu! ya udhaifu ulio nao kuhusu Lugha za kigeni! udhaifu huo ndo umua rais wako kiivo!! si mkuje mjifunze huku bure au huna Nauli za kuja kupata shule huku maskini weye!!
kwa sababu sisi tuanajua Lugha ya adui yetu ndo maana hatudanganyiki kirahisi!! sasa nyie mnaumia!!sababu hamjui! wkt jembe letu moja huo nao ni udhaifu wa kishamba!! kwa hasira hizi hamtachomoka nakwambieni! ni ngumu!
Kiswahili ni Kibantu!! na sisi Kenya ni wabantu fika!! hata ufanyeje ndo ilivo!! kiswahili si mali ya Tanzania!! ...ni mali ya Wabantu! ukienda Congo, Northern zambia, Malawi, Zanzubar nk nao wanakuona wewe mbongo hujui km unavodhani sisi kenya hatujui!!
na hili ni tatizo la kuwa na Elimu haba ya Madrassa!! kasome tena chekechea mshamba weye...mbona hata hapo tanzania wengi hamjui kiswahili kabisaaaaaa!! tena kuliko wakenya!! kabila km wasukuma, waangaza, wahaya,wamakonde utacheka mpaka unye kenge wee!!
sasa neno km ''ntonto wa nkuu wa nkoa wa ntwala '' ndo nini sasa? bwana wewe uchiteme wala uchimungunye chomo!! ntwala ng'oko! ukichimama nchale ukikimbia nchale'' ndo nini sasa ..zile sabundi zangu ziko wapi!!! heroo! nchia iko wabhi!!......tabhuta iyo!! inaonekana hata nchi yako huijui vyema weye!!
bado kitoto cha sec. au wa primary kabisa!! rudi darasani kasome historia ya kiswahili ili ujue kwanza weye mwenyewe u,etoka shamba tu nikikuona kwa radar zangu! wazazi wako hawajui kiswahili uongo?....sema umetokea Mkoa gani nikunyambue sasa ivi.........