Afadhali yale ya Kuchapwa nao ya kina Pope au vipi??Maeneo ambayo wenye mtazamo ya mito ya pombe na bikra ni wengi hua ni ngumu kuishi
Unajua una roho nyepesi kama ya sabuni inayotumika bafuni kwa washikaji. Huko Somalia umefuata nini? Ya Somalia yanakuhusu nini? We ndo msemaji wa JF? Wa serikali? Au!?
Kwani usingeleta mambo ya kijinga nje ya mada ungechambwa?Hii ni maada acha kuchamba mtoto wa kiume
Kwani usingeleta mambo ya kijinga nje ya mada ungechambwa?
Kwa hiyo,wewe unaogopa kufa?
Unaona kinachoendelea huko
Kwa hiyo,wewe unaogopa kufa?
Zako za mkopo. Wa ngapi walouliwa unaowajua?Yaan nyie watu mlozoea kuuana nyie shida!!
Ndio naogopa !
wasiwasi ndo akili