Engager
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 1,522
- 3,255
Ni kama tu wanaoishi mabondeni. Wakati wa masika wanaishi roho juu. Si kwamba wanapenda, la. Ni hawana makazi mbadala.
Ni rahisi kumwambia mtu 'hama hapo'. Ila ni vigumu kwa mkazi kuyahama makazi yake aliyoyapata pengine kwa msoto mkali. Ndio maana wenye uwezo hawakai maeneo hatarishi.
Ni rahisi kumwambia mtu 'hama hapo'. Ila ni vigumu kwa mkazi kuyahama makazi yake aliyoyapata pengine kwa msoto mkali. Ndio maana wenye uwezo hawakai maeneo hatarishi.