Papa Francis HAJAWAHI kukanyaga AFRIKA ndio mara yake ya kwanza. Obama alikuja TZ siku moja, Kenya alilala na akaamka!
Aliyemtangulia papa Francis alishafika TZ since then, Obama alilala TZ for three concecutive nights...,Papa Francis HAJAWAHI kukanyaga AFRIKA ndio mara yake ya kwanza. Obama alikuja TZ siku moja, Kenya alilala na akaamka!
Iliwasaidia nini baada ya hapo.Papa Francis HAJAWAHI kukanyaga AFRIKA ndio mara yake ya kwanza. Obama alikuja TZ siku moja, Kenya alilala na akaamka!
Pamoja saanaNina aleji na viongozi kama hao, hata angekuwa anapita mtaani nisingetoka kwenda kumwona!!! Sinaga shobo na watu Maarufu.