Kiluuj
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 692
- 277
Mpo?
Wakenya tunapendwa.
Ndio,
Mwaka huu OBAMA rais wa the super power nation USA akaja nyumbani.
Leo, PAPA Francis, mkuu wa dhehebu lenye wafuasi wengi duniani, na literally kiongozi wa dunia anakuja Kenya,
Kwa mara ya kwanza kuja Afrika!
I am proud to be a Kenyan.
Wakenya tunapendwa.
Ndio,
Mwaka huu OBAMA rais wa the super power nation USA akaja nyumbani.
Leo, PAPA Francis, mkuu wa dhehebu lenye wafuasi wengi duniani, na literally kiongozi wa dunia anakuja Kenya,
Kwa mara ya kwanza kuja Afrika!
I am proud to be a Kenyan.