Kenge hawa...wanatafuta kuwawekeni busy kwa kuwa wanajua you are easy to be triggered.Hakika unafiki ni sehemu ya maisha ya waafrika.
Ni vigumu kuamini kama haya maneno yanazungumzwa na jirani zetu haswaaa.
Ebu wasikilizeni wana jamvi.View attachment 2875911
😀 😀Competitor wetu hao, lazima waone gere tumewapita kwenye football, music na boxing
Ni kwasababu tupo nao levo kona ki ujumla kila mmoja anajitahidi kumpita mwenzie ni tofauti na ug, rwanda, burundi au hata mozambique hao wanatuheshimu maana tupo mbele yao au sisitunawahesimu sauzi maana wapo mbele yetu kimaendeleo, ila wakenya level yetu tu haoUpo sahihi sana lkn mbona wamekuwa wawazi sana hata aibu?
Hili la pasi kutofika ndo lilikuwa linanichefua sana!Huo ndio ukweli. Mtu hata pasi haiwezi kufika
Wamesema ukweli wala sio uongo!Hakika unafiki ni sehemu ya maisha ya waafrika.
Ni vigumu kuamini kama haya maneno yanazungumzwa na jirani zetu haswaaa.
Ebu wasikilizeni wana jamvi.View attachment 2875911