gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,956
- 2,274
Kwa kweli Kenya na Tanzania ni nchi mbili marafiki sana na niseme ni kama ndugu:
Naona toka msiba huu umetokea Kenya wanauchukua pia kama wao: Mambo yafuatayo yametoa faraja sana kwetu toka kenya
1. Rais Kenya kuhutubia taifa kuhusu msiba wa Rais wetu aliyetangulia mbele za haki Magufuli
2. Kutangazwa siku za maombolezo (nafikiri hili ni kwa mujibu wa EAC)
3. Leo vyombo vyote vya habari kenya vilikuwa vinarusha live matukio ya kumuaga Rais Magufuli
Tofauti kabisa na nchi nyingine za Africa mashariki kama Uganda, Rwanda na Burundi.
Hakika Kenya na sisi ni taifa moja.
Naona toka msiba huu umetokea Kenya wanauchukua pia kama wao: Mambo yafuatayo yametoa faraja sana kwetu toka kenya
1. Rais Kenya kuhutubia taifa kuhusu msiba wa Rais wetu aliyetangulia mbele za haki Magufuli
2. Kutangazwa siku za maombolezo (nafikiri hili ni kwa mujibu wa EAC)
3. Leo vyombo vyote vya habari kenya vilikuwa vinarusha live matukio ya kumuaga Rais Magufuli
Tofauti kabisa na nchi nyingine za Africa mashariki kama Uganda, Rwanda na Burundi.
Hakika Kenya na sisi ni taifa moja.