Wakenya tuendelee kukumbatia Uchina ili kuepukana na adhabu wanayopokea wenzetu wa Tanzania

Habari njema hii.
 
Tanzania na China. Watalii 10,000 kuja nchini..Tanzania kutokea ChinaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Wameachia wenyewe broπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Kwa hiyo nyie (wakenya) mnaendelea kutifuana nyuma!???? Laana iko na nyie! Poleni sana na inawezekana hata wewe ulopost hii mana unapumuliwa kisogoni.
 
Huwezi kuitenga Tanzania. World Bank Today πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ Tanzania ni nchi ya Asali πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
wasipo ikopesha TANZANIA yenye uwezo WA kulipa madeni watawakopesha nan...
 
Tupo imara mkuu
 
Naona unaendelea na ugonjwa wako wa kuleta Habari za Tanzania huku. Tukileta sisi tunaonekana wabaya.
 
MK254 . Yaani umenena ukweli mtupu. Tatizo ya baadhi ya wachangiaji humu ni utoto mwingi ambao hufanya washabikie vitu vya kipumbavu. Hata najua kuna wanachadema ambao wanashangaa sana na hawa wazungu. Wakati wote hawa wazungu wamenyamaza magufuli akifanya mambo ya kipumbavu sana.

Kwa maoni yangu, WB walikuwa na haki zaidi ya EU kushikilia hela. Hata hivyo, mambo ya WB ni kuhusu elimu ya watoto wasichana. Haya ni mambo specific kabisa na niko na uhakika magu alirudi nyuma. Kwa wale wanaoshabikia eti WB wamerudisha hela, nadhani hao ni watoto sana. Benki ya Dunia haijatoa mkopo huo, bali imesema itatoa. Ni mpumbavu asiyekumbuka miaka za Moi kuhusu ahadi za WB za 'tuta'.

Kuhusu EU, hili ni jambo ambalo lafaa likemewe na wengi wetu. Kwanini wazungu walingoja hadi mambo ya kishoga yaje ndiposa wasingizie ati "haki za kibinadamu?" Sisi kama Kenya tusimtegemee mzungu au hata mchina. Ni vyema tujipende wenyewe na tuanze na EAC. Huu upuuzi wa TZ kujifanya na kujitenga utaigharimu sana. Kuungana na kufanya mambo kama nchi za kiafrika ndio njia pekee ya kujikinga na tactics hizi. Tujifunze kujitegema kwa kuwapenda watu weusi. Tatizo ni kuwa waafrika tunafanyiana maovu kuliko jinsi tunavyomfanyia mzungu.

Licha ya utani wa humu jukwaani, sitaki kuona uchumi wa TZ ukivurugwa kisa upumbavu wa mashoga. Hawa watu sio eti huleta hela nyingi sana (haswa Kenya). Tatizo ni kuwa sisi tuko very vulnerable kwa financial system zetu. Sanctions zao kidogo tu zaweza kufanya shillingi ya KES ishuke kutoka 100 hadi 200 kwa mwezi mmoja. Wakipiga TZ kichapo, Sitashangaa kuona TZS imeshuka kutoka 2300 hadi 4600.
 
Reactions: Oii
Sio kwamba tunashindwa kukopa China. Na rafiki wa kweli TZ ni China na Russia kama socialist countries. Msikilize Magufuli leo kuhusu world bank...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Wacha kelele. Sindano ya Magufuli inaingia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. EU is Tanzania’s biggest donor. Subiri wa-review funding to TZ. Mtapata tabu chini ya uongozi wa dictator

EU to review its financial support for Tanzania over human rights concerns | DW | 16.11.2018
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…