Wacha wee, Balozi wa Tanzania nchini Sweden aitwa na serikali ya Sweden kuhusu ufafanuzi wa waharakati zinazoendelea nchini Tanzania. Tanzania haijamtuma balozi wake akajielezee, ameitikia diplomatic summon.
Hatutafeli kama nchi kwa kunyimwa mikopo, mikopo ipo tu hata leo WB imetoa mkopo wa $300 millions.
Africa kwenye suala la ushoga tunashindwa kujinasua kwasababu taratibu zetu zimevurugwa. Mapadri wakianza kuhubiri kuukubali ushoga tu basi kwetu itakua kitu cha kawaida sana. Tungekua na dini na taratibu zinazokataza tungekua salama. Waarabu wana taratibu zao tangu karne ya 5 kwahiyo inaeleweka.