Hawa jamaa nimegundua wanatuogopa kinyamaaaaa...ππππNaona unaendelea na ugonjwa wako wa kuleta Habari za Tanzania huku. Tukileta sisi tunaonekana wabaya.
Watu weusi nima snitch tukianza na Kenya yenyewe. Forget about EAC. Ilishakufa zamani imebaki kwenye makaratasi. Kila mtu apambane na hali yake. Kenya ime tu snitch mala kibao. Toka enzi za Nyerere.MK254 . Yaani umenena ukweli mtupu. Tatizo ya baadhi ya wachangiaji humu ni utoto mwingi ambao hufanya washabikie vitu vya kipumbavu. Hata najua kuna wanachadema ambao wanashangaa sana na hawa wazungu. Wakati wote hawa wazungu wamenyamaza magufuli akifanya mambo ya kipumbavu sana.
Kwa maoni yangu, WB walikuwa na haki zaidi ya EU kushikilia hela. Hata hivyo, mambo ya WB ni kuhusu elimu ya watoto wasichana. Haya ni mambo specific kabisa na niko na uhakika magu alirudi nyuma. Kwa wale wanaoshabikia eti WB wamerudisha hela, nadhani hao ni watoto sana. Benki ya Dunia haijatoa mkopo huo, bali imesema itatoa. Ni mpumbavu asiyekumbuka miaka za Moi kuhusu ahadi za WB za 'tuta'.
Kuhusu EU, hili ni jambo ambalo lafaa likemewe na wengi wetu. Kwanini wazungu walingoja hadi mambo ya kishoga yaje ndiposa wasingizie ati "haki za kibinadamu?" Sisi kama Kenya tusimtegemee mzungu au hata mchina. Ni vyema tujipende wenyewe na tuanze na EAC. Huu upuuzi wa TZ kujifanya na kujitenga utaigharimu sana. Kuungana na kufanya mambo kama nchi za kiafrika ndio njia pekee ya kujikinga na tactics hizi. Tujifunze kujitegema kwa kuwapenda watu weusi. Tatizo ni kuwa waafrika tunafanyiana maovu kuliko jinsi tunavyomfanyia mzungu.
Licha ya utani wa humu jukwaani, sitaki kuona uchumi wa TZ ukivurugwa kisa upumbavu wa mashoga. Hawa watu sio eti huleta hela nyingi sana (haswa Kenya). Tatizo ni kuwa sisi tuko very vulnerable kwa financial system zetu. Sanctions zao kidogo tu zaweza kufanya shillingi ya KES ishuke kutoka 100 hadi 200 kwa mwezi mmoja. Wakipiga TZ kichapo, Sitashangaa kuona TZS imeshuka kutoka 2300 hadi 4600.
MK254 . Yaani umenena ukweli mtupu. Tatizo ya baadhi ya wachangiaji humu ni utoto mwingi ambao hufanya washabikie vitu vya kipumbavu. Hata najua kuna wanachadema ambao wanashangaa sana na hawa wazungu. Wakati wote hawa wazungu wamenyamaza magufuli akifanya mambo ya kipumbavu sana.
Kwa maoni yangu, WB walikuwa na haki zaidi ya EU kushikilia hela. Hata hivyo, mambo ya WB ni kuhusu elimu ya watoto wasichana. Haya ni mambo specific kabisa na niko na uhakika magu alirudi nyuma. Kwa wale wanaoshabikia eti WB wamerudisha hela, nadhani hao ni watoto sana. Benki ya Dunia haijatoa mkopo huo, bali imesema itatoa. Ni mpumbavu asiyekumbuka miaka za Moi kuhusu ahadi za WB za 'tuta'.
Kuhusu EU, hili ni jambo ambalo lafaa likemewe na wengi wetu. Kwanini wazungu walingoja hadi mambo ya kishoga yaje ndiposa wasingizie ati "haki za kibinadamu?" Sisi kama Kenya tusimtegemee mzungu au hata mchina. Ni vyema tujipende wenyewe na tuanze na EAC. Huu upuuzi wa TZ kujifanya na kujitenga utaigharimu sana. Kuungana na kufanya mambo kama nchi za kiafrika ndio njia pekee ya kujikinga na tactics hizi. Tujifunze kujitegema kwa kuwapenda watu weusi. Tatizo ni kuwa waafrika tunafanyiana maovu kuliko jinsi tunavyomfanyia mzungu.
Licha ya utani wa humu jukwaani, sitaki kuona uchumi wa TZ ukivurugwa kisa upumbavu wa mashoga. Hawa watu sio eti huleta hela nyingi sana (haswa Kenya). Tatizo ni kuwa sisi tuko very vulnerable kwa financial system zetu. Sanctions zao kidogo tu zaweza kufanya shillingi ya KES ishuke kutoka 100 hadi 200 kwa mwezi mmoja. Wakipiga TZ kichapo, Sitashangaa kuona TZS imeshuka kutoka 2300 hadi 4600.
Wew jamaa Mbona kama hujatulia hivi.?!Waambie hao tena makamu WA raisi
WA BENK YA DUNIA AMEKUJA MWENYEWE NA AMEKUBALI KUTOA ILE DOLA MIL. 300 ILIYOKUWA IKIPIGIWA MISUMARI KUWA TUMECHINJIWA BAHARINI KISA MASHOGA
Hapa napinga Kidogo. Shida ya Tz ni namna wanavyofanya mambo. Kusema ukweli wakati wa Kikwete Tz ilikuwa ime imarika sana, Hali ya sasa, in two years magufuli amekuwa restrictive sana, ndio unaona hawa international regulators pushing back. Freedom of rights na other things have detoriarated rapidly. Kule Uarabuni, sheria zao ni kutoka zamani, Yaani wako consistent hakuna jambo jipya.Inauma sana kwa kweli ukizingatia Waarabu wana sheria kali sana dhidi ya mashoga, wanachinja kabisa lakini hawasemwi, kwao hata kuchepuka unapigwa mawe. Hapa yaani Mwafrika hata kutaja chochote dhidi ya mashoga unapumuliwa mpaka basi.
Tatizo hatuna jinsi, maana hela hatuna za kujenga miundo mbinu lazima tuwategemee na ndio maana nashauri bora Uchina, nakumbuka kipindi rais Kibaki alianza kuwafuata Wachina, wengi tulimsema sana lakini nimeishia kumuelewa.
EAC hata tukiungana, hatuna hela za kufanya chochote, lazima tuwasklizie hawa....
You think we are surprised with EU..We just knew all that would happen. It's all because Tanzania refused to accept EPA...Wacha kelele. Sindano ya Magufuli inaingia πππ. EU is Tanzaniaβs biggest donor. Subiri wa-review funding to TZ. Mtapata tabu chini ya uongozi wa dictator
EU to review its financial support for Tanzania over human rights concerns | DW | 16.11.2018
Who was better during the ruling of Kikwete?? Hacheni unafiki. Kila mtu alikuwa akiimba mabadiliko, mabadiliko. Leo amekuja raisi aliyeleta mabadiliko mnalalama. Who are you fooling?? Museveni hakuwahi kukataa mashoga?? Should we show you the evidence??πππ Propaganda nyingi na facts huzijui πππRwanda unayoiongelea nenda leo hii na mnyarwanda aseme anataka kugombea uraisiππππHapa napinga Kidogo. Shida ya Tz ni namna wanavyofanya mambo. Kusema ukweli wakati wa Kikwete Tz ilikuwa ime imarika sana, Hali ya sasa, in two years magufuli amekuwa restrictive sana, ndio unaona hawa international regulators pushing back. Freedom of rights na other things have detoriarated rapidly. Kule Uarabuni, sheria zao ni kutoka zamani, Yaani wako consistent hakuna jambo jipya.
Hata Kagame ni dictator lakini year anakanyanga pole pole, hana ukali na hasira za haraka, mambo yake ni behind the scenes ndio unaona he is still international respected.
Museveni vile vile. Ana kanyanga pole pole.
Shida ya Tz ni magufuli is pushing back on all the gains Tz has achieved in the last decade.
Museveni on Gays rightsπππππππππππππππHapa napinga Kidogo. Shida ya Tz ni namna wanavyofanya mambo. Kusema ukweli wakati wa Kikwete Tz ilikuwa ime imarika sana, Hali ya sasa, in two years magufuli amekuwa restrictive sana, ndio unaona hawa international regulators pushing back. Freedom of rights na other things have detoriarated rapidly. Kule Uarabuni, sheria zao ni kutoka zamani, Yaani wako consistent hakuna jambo jipya.
Hata Kagame ni dictator lakini year anakanyanga pole pole, hana ukali na hasira za haraka, mambo yake ni behind the scenes ndio unaona he is still international respected.
Museveni vile vile. Ana kanyanga pole pole.
Shida ya Tz ni magufuli is pushing back on all the gains Tz has achieved in the last decade.
Mwinyi as the president he has agreed that Magufuli has done things which them as the president they failed to do for years but he has managed in a shortest period of time. Can you even manage your family??Hapa napinga Kidogo. Shida ya Tz ni namna wanavyofanya mambo. Kusema ukweli wakati wa Kikwete Tz ilikuwa ime imarika sana, Hali ya sasa, in two years magufuli amekuwa restrictive sana, ndio unaona hawa international regulators pushing back. Freedom of rights na other things have detoriarated rapidly. Kule Uarabuni, sheria zao ni kutoka zamani, Yaani wako consistent hakuna jambo jipya.
Hata Kagame ni dictator lakini year anakanyanga pole pole, hana ukali na hasira za haraka, mambo yake ni behind the scenes ndio unaona he is still international respected.
Museveni vile vile. Ana kanyanga pole pole.
Shida ya Tz ni magufuli is pushing back on all the gains Tz has achieved in the last decade.
Hapa napinga Kidogo. Shida ya Tz ni namna wanavyofanya mambo. Kusema ukweli wakati wa Kikwete Tz ilikuwa ime imarika sana, Hali ya sasa, in two years magufuli amekuwa restrictive sana, ndio unaona hawa international regulators pushing back. Freedom of rights na other things have detoriarated rapidly. Kule Uarabuni, sheria zao ni kutoka zamani, Yaani wako consistent hakuna jambo jipya.
Hata Kagame ni dictator lakini year anakanyanga pole pole, hana ukali na hasira za haraka, mambo yake ni behind the scenes ndio unaona he is still international respected.
Museveni vile vile. Ana kanyanga pole pole.
Shida ya Tz ni magufuli is pushing back on all the gains Tz has achieved in the last decade.
Hapa hoja si ligality of gay rights. Hata Kenya itβs illegal na uhuru has publicity defended the same on CNN as well as infront of Obama.Museveni on Gays rightsπππππππππππππππ
Do you know America leads in execution(death penalt) in the world but no one says anything bad about them. Most international journalists are spies. They have lead many other countries into wars. Aljezillar is responsible for the war in Libya and Syria if you never knew that.Hapa hoja si ligality of gay rights. Hata Kenya itβs illegal na uhuru has publicity defended the same on CNN as well as infront of Obama.
Swala nyeti hapa ni human rights and freedom of press, kidnapping, abductions, freedom expressions, speech, opposition etc.
https://www.dailymaverick.co.za/article/2018-11-13-my-nasty-encounter-with-tanzanian-repression/
View attachment 936870
nilijaribu kufatilia urafiki wa china na tanzania nikagundua tz imewai kuisaidia sana china huko nyuma now china ni kama analipa fadhira kwa tanzania pia nikagundua kama china ataitenga tanzania basi wachina watapata hasara kiasi flan point to note tanzania ni eneo la kimbinu kwa ushirikiano wa china na nchi za africaChina sisi niswala lakugusa alafu wanacheuwa.. China sisi hutupatia grants.. China na Tanzania huwezi kuitenga kamwe. Huwa tunawasimamia sana huko UN. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Latest from China. Endeleeni kupeleka vikapu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
hahaha tanzania sio socialist coutry aliwageuka wenzie sababu ya umaskin wake akajiita NAM lkn alikuwa anafata falsafa za kijamaa zaidSio kwamba tunashindwa kukopa China. Na rafiki wa kweli TZ ni China na Russia kama socialist countries. Msikilize Magufuli leo kuhusu world bank...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]